PICHA: Rais Samia Akiwa Na Pistol Mkononi Akiwa Ameishika Kikakamavu na Kikomandoo

PICHA: Rais Samia Akiwa Na Pistol Mkononi Akiwa Ameishika Kikakamavu na Kikomandoo

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
36,348
Reaction score
23,757
Ndugu zangu Watanzania,

Kwa hakika Tuna Rais Imara ,tuna Rais wa Viwango ,tuna Rais Hodari ,tuna Rais shupavu ,madhubuti na Makini kwelikweli. Tuna Rais Ambaye alistahili na amesitahili kuitwa Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya ulinzi na usalama.

Tuna Rais Mwenye Hadhi ya Uamiri Jeshi Mkuu Wa Kuongoza Majeshi yetu yote na kutoa Amri kwa Vikosi vyote. Rais Samia ni Mtu na Nusu . Sijapata Kuona Mama Na kiongozi Shupavu na mahiri kama Rais Samia kwa Miaka ya hivi karibuni. Inaleta raha sana kuongozwa na Kiongozi aina ya Rais Samia. Kwa sababu unakuwa huna wasiwasi wala hofu ya aina yoyote ile

Ni kiongozi mwenye utimamu wa akili na Mwili.mwenye uwezo wa kufanya maamuzi Magumu na yenye tija. Ni kiongozi mwenye uwezo na nguvu ya kufanya kazi kwa saa 24 Usiku na mchana bila kupumzika.

Kwa hakika Mikononi Mwa Rais Samia Tupo Kanaan . Tuweni na Imani na Mama yetu . Kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu aliyemuinua na kumpa kibali Rais wetu Mpendwa Atatuvusha katika kila mtihani utakaojitokeza mbele yetu kama Taifa. Hakuna kilele ambacho tutashindwa kufika Kama Taifa.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Screenshot_20260224-170125_1.jpg
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kwa hakika Tuna Rais Imara ,tuna Rais wa Viwango ,tuna Rais Hodari ,tuna Rais shupavu ,madhubuti na Makini kwelikweli. Tuna Rais Ambaye alistahili na amesitahili kuitwa Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya ulinzi na usalama.

Tuna Rais Mwenye Hadhi ya Uamiri Jeshi Mkuu Wa Kuongoza Majeshi yetu yote na kutoa Amri kwa Vikosi vyote. Rais Samia ni Mtu na Nusu . Sijapata Kuona Mama Na kiongozi Shupavu na mahiri kama Rais Samia kwa Miaka ya hivi karibuni. Inaleta raha sana kuongozwa na Kiongozi aina ya Rais Samia. Kwa sababu unakuwa huna wasiwasi wala hofu ya aina yoyote ile

Ni kiongozi mwenye utimamu wa akili na Mwili.mwenye uwezo wa kufanya maamuzi Magumu na yenye tija. Ni kiongozi mwenye uwezo na nguvu ya kufanya kazi kwa saa 24 Usiku na mchana bila kupumzika.

Kwa hakika Mikononi Mwa Rais Samia Tupo Kanaan . Tuweni na Imani na Mama yetu . Kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu aliyemuinua na kumpa kibali Rais wetu Mpendwa Atatuvusha katika kila mtihani utakaojitokeza mbele yetu kama Taifa. Hakuna kilele ambacho tutashindwa kufika Kama Taifa.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.View attachment 3548131
KABLA YA KUNYWA DAMU
FB_IMG_1771930775382.jpg


BAADA YA KUNYWA DAMU.
FB_IMG_1771930781752.jpg
 
Kwa hiyo chawa unaamini huyo mamayo ni komando siyo?
Safari ni ndefu sana, akili kama hizi haziwezi kuwa akiba bora ya fikra ya vizazi vijavyo.
Hata kama unampenda mtu siyo kwa ujinga huu.
Mtakuja kuulizwa na vitukuu vyenu kuhusu hii dhambi.
Mwanaume kufikia hatua ya kumsujudia mwanamke namna hii ni upumbavu uliopitiliza.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kwa hakika Tuna Rais Imara ,tuna Rais wa Viwango ,tuna Rais Hodari ,tuna Rais shupavu ,madhubuti na Makini kwelikweli. Tuna Rais Ambaye alistahili na amesitahili kuitwa Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya ulinzi na usalama.

Tuna Rais Mwenye Hadhi ya Uamiri Jeshi Mkuu Wa Kuongoza Majeshi yetu yote na kutoa Amri kwa Vikosi vyote. Rais Samia ni Mtu na Nusu . Sijapata Kuona Mama Na kiongozi Shupavu na mahiri kama Rais Samia kwa Miaka ya hivi karibuni. Inaleta raha sana kuongozwa na Kiongozi aina ya Rais Samia. Kwa sababu unakuwa huna wasiwasi wala hofu ya aina yoyote ile

Ni kiongozi mwenye utimamu wa akili na Mwili.mwenye uwezo wa kufanya maamuzi Magumu na yenye tija. Ni kiongozi mwenye uwezo na nguvu ya kufanya kazi kwa saa 24 Usiku na mchana bila kupumzika.

Kwa hakika Mikononi Mwa Rais Samia Tupo Kanaan . Tuweni na Imani na Mama yetu . Kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu aliyemuinua na kumpa kibali Rais wetu Mpendwa Atatuvusha katika kila mtihani utakaojitokeza mbele yetu kama Taifa. Hakuna kilele ambacho tutashindwa kufika Kama Taifa.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.View attachment 3548131
Upuuzi mtupu, this guys with low IQ nahisi wanapotezea muda watu
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kwa hakika Tuna Rais Imara ,tuna Rais wa Viwango ,tuna Rais Hodari ,tuna Rais shupavu ,madhubuti na Makini kwelikweli. Tuna Rais Ambaye alistahili na amesitahili kuitwa Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya ulinzi na usalama.

Tuna Rais Mwenye Hadhi ya Uamiri Jeshi Mkuu Wa Kuongoza Majeshi yetu yote na kutoa Amri kwa Vikosi vyote. Rais Samia ni Mtu na Nusu . Sijapata Kuona Mama Na kiongozi Shupavu na mahiri kama Rais Samia kwa Miaka ya hivi karibuni. Inaleta raha sana kuongozwa na Kiongozi aina ya Rais Samia. Kwa sababu unakuwa huna wasiwasi wala hofu ya aina yoyote ile

Ni kiongozi mwenye utimamu wa akili na Mwili.mwenye uwezo wa kufanya maamuzi Magumu na yenye tija. Ni kiongozi mwenye uwezo na nguvu ya kufanya kazi kwa saa 24 Usiku na mchana bila kupumzika.

Kwa hakika Mikononi Mwa Rais Samia Tupo Kanaan . Tuweni na Imani na Mama yetu . Kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu aliyemuinua na kumpa kibali Rais wetu Mpendwa Atatuvusha katika kila mtihani utakaojitokeza mbele yetu kama Taifa. Hakuna kilele ambacho tutashindwa kufika Kama Taifa.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.View attachment 3548131
Wee kweli kenge. Mtu anatetemeka kama uji unaochemka
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kwa hakika Tuna Rais Imara ,tuna Rais wa Viwango ,tuna Rais Hodari ,tuna Rais shupavu ,madhubuti na Makini kwelikweli. Tuna Rais Ambaye alistahili na amesitahili kuitwa Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya ulinzi na usalama.

Tuna Rais Mwenye Hadhi ya Uamiri Jeshi Mkuu Wa Kuongoza Majeshi yetu yote na kutoa Amri kwa Vikosi vyote. Rais Samia ni Mtu na Nusu . Sijapata Kuona Mama Na kiongozi Shupavu na mahiri kama Rais Samia kwa Miaka ya hivi karibuni. Inaleta raha sana kuongozwa na Kiongozi aina ya Rais Samia. Kwa sababu unakuwa huna wasiwasi wala hofu ya aina yoyote ile

Ni kiongozi mwenye utimamu wa akili na Mwili.mwenye uwezo wa kufanya maamuzi Magumu na yenye tija. Ni kiongozi mwenye uwezo na nguvu ya kufanya kazi kwa saa 24 Usiku na mchana bila kupumzika.

Kwa hakika Mikononi Mwa Rais Samia Tupo Kanaan . Tuweni na Imani na Mama yetu . Kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu aliyemuinua na kumpa kibali Rais wetu Mpendwa Atatuvusha katika kila mtihani utakaojitokeza mbele yetu kama Taifa. Hakuna kilele ambacho tutashindwa kufika Kama Taifa.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.View attachment 3548131
Maiti Yako inafaa kuwa chakula cha MAMBA au FISI.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kwa hakika Tuna Rais Imara ,tuna Rais wa Viwango ,tuna Rais Hodari ,tuna Rais shupavu ,madhubuti na Makini kwelikweli. Tuna Rais Ambaye alistahili na amesitahili kuitwa Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya ulinzi na usalama.

Tuna Rais Mwenye Hadhi ya Uamiri Jeshi Mkuu Wa Kuongoza Majeshi yetu yote na kutoa Amri kwa Vikosi vyote. Rais Samia ni Mtu na Nusu . Sijapata Kuona Mama Na kiongozi Shupavu na mahiri kama Rais Samia kwa Miaka ya hivi karibuni. Inaleta raha sana kuongozwa na Kiongozi aina ya Rais Samia. Kwa sababu unakuwa huna wasiwasi wala hofu ya aina yoyote ile

Ni kiongozi mwenye utimamu wa akili na Mwili.mwenye uwezo wa kufanya maamuzi Magumu na yenye tija. Ni kiongozi mwenye uwezo na nguvu ya kufanya kazi kwa saa 24 Usiku na mchana bila kupumzika.

Kwa hakika Mikononi Mwa Rais Samia Tupo Kanaan . Tuweni na Imani na Mama yetu . Kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu aliyemuinua na kumpa kibali Rais wetu Mpendwa Atatuvusha katika kila mtihani utakaojitokeza mbele yetu kama Taifa. Hakuna kilele ambacho tutashindwa kufika Kama Taifa.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.View attachment 3548131
Maiti Yako inafaa kuwa chakula cha MAMBA au FISI.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kwa hakika Tuna Rais Imara ,tuna Rais wa Viwango ,tuna Rais Hodari ,tuna Rais shupavu ,madhubuti na Makini kwelikweli. Tuna Rais Ambaye alistahili na amesitahili kuitwa Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya ulinzi na usalama.

Tuna Rais Mwenye Hadhi ya Uamiri Jeshi Mkuu Wa Kuongoza Majeshi yetu yote na kutoa Amri kwa Vikosi vyote. Rais Samia ni Mtu na Nusu . Sijapata Kuona Mama Na kiongozi Shupavu na mahiri kama Rais Samia kwa Miaka ya hivi karibuni. Inaleta raha sana kuongozwa na Kiongozi aina ya Rais Samia. Kwa sababu unakuwa huna wasiwasi wala hofu ya aina yoyote ile

Ni kiongozi mwenye utimamu wa akili na Mwili.mwenye uwezo wa kufanya maamuzi Magumu na yenye tija. Ni kiongozi mwenye uwezo na nguvu ya kufanya kazi kwa saa 24 Usiku na mchana bila kupumzika.

Kwa hakika Mikononi Mwa Rais Samia Tupo Kanaan . Tuweni na Imani na Mama yetu . Kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu aliyemuinua na kumpa kibali Rais wetu Mpendwa Atatuvusha katika kila mtihani utakaojitokeza mbele yetu kama Taifa. Hakuna kilele ambacho tutashindwa kufika Kama Taifa.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.View attachment 3548131
Maiti Yako inafaa kuwa chakula cha MAMBA au FISI.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kwa hakika Tuna Rais Imara ,tuna Rais wa Viwango ,tuna Rais Hodari ,tuna Rais shupavu ,madhubuti na Makini kwelikweli. Tuna Rais Ambaye alistahili na amesitahili kuitwa Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya ulinzi na usalama.

Tuna Rais Mwenye Hadhi ya Uamiri Jeshi Mkuu Wa Kuongoza Majeshi yetu yote na kutoa Amri kwa Vikosi vyote. Rais Samia ni Mtu na Nusu . Sijapata Kuona Mama Na kiongozi Shupavu na mahiri kama Rais Samia kwa Miaka ya hivi karibuni. Inaleta raha sana kuongozwa na Kiongozi aina ya Rais Samia. Kwa sababu unakuwa huna wasiwasi wala hofu ya aina yoyote ile

Ni kiongozi mwenye utimamu wa akili na Mwili.mwenye uwezo wa kufanya maamuzi Magumu na yenye tija. Ni kiongozi mwenye uwezo na nguvu ya kufanya kazi kwa saa 24 Usiku na mchana bila kupumzika.

Kwa hakika Mikononi Mwa Rais Samia Tupo Kanaan . Tuweni na Imani na Mama yetu . Kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu aliyemuinua na kumpa kibali Rais wetu Mpendwa Atatuvusha katika kila mtihani utakaojitokeza mbele yetu kama Taifa. Hakuna kilele ambacho tutashindwa kufika Kama Taifa.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.View attachment 3548131
Maiti Yako inafaa kuwa chakula cha MAMBA au FISI.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kwa hakika Tuna Rais Imara ,tuna Rais wa Viwango ,tuna Rais Hodari ,tuna Rais shupavu ,madhubuti na Makini kwelikweli. Tuna Rais Ambaye alistahili na amesitahili kuitwa Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya ulinzi na usalama.

Tuna Rais Mwenye Hadhi ya Uamiri Jeshi Mkuu Wa Kuongoza Majeshi yetu yote na kutoa Amri kwa Vikosi vyote. Rais Samia ni Mtu na Nusu . Sijapata Kuona Mama Na kiongozi Shupavu na mahiri kama Rais Samia kwa Miaka ya hivi karibuni. Inaleta raha sana kuongozwa na Kiongozi aina ya Rais Samia. Kwa sababu unakuwa huna wasiwasi wala hofu ya aina yoyote ile

Ni kiongozi mwenye utimamu wa akili na Mwili.mwenye uwezo wa kufanya maamuzi Magumu na yenye tija. Ni kiongozi mwenye uwezo na nguvu ya kufanya kazi kwa saa 24 Usiku na mchana bila kupumzika.

Kwa hakika Mikononi Mwa Rais Samia Tupo Kanaan . Tuweni na Imani na Mama yetu . Kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu aliyemuinua na kumpa kibali Rais wetu Mpendwa Atatuvusha katika kila mtihani utakaojitokeza mbele yetu kama Taifa. Hakuna kilele ambacho tutashindwa kufika Kama Taifa.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.View attachment 3548131
Muuaji mkubwa huyu. Ipo siku atajigeuzia hiyo mashine
 
Back
Top Bottom