Akiongea na wanahabari, Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Mhe. Mrindoko, amesema Mkoa umeunganishwa na Gridi ya Taifa ya Umeme na umewashwa umeme katika Wilaya za Mlele, Nsimbo, na Tanganyika, mradi ukiwa na gharama ya Shilingi 116 Bilioni, ukiwahusisha ujenzi wa njia ya 132KV kutoka Tabora hadi Katavi (km 383) na vituo viwili vya kupoozea umeme (Inyonga 12MW, Mpanda 28MW);
Katika kipindi cha uongozi wa Rais wa Awamu ya Sita, Mkoa umepokea jumla ya Shilingi 196,402,687,825.08 kwa miradi mbalimbali ikiwemo upanuzi wa mtandao, voltage improvement na kupeleka umeme vijijini kwa Vijiji 172, hadi Juni 2025 Vitongoji 504 kati ya 912 vimeunganishiwa umeme huku 408 vilivyo baki vikiwa na mpango wa kuunganishwa mwaka wa fedha 2025/2026; upelekaji huu umeongeza idadi ya wateja kutoka 23,312 hadi 42,567, na mapato ya mwezi yameongezeka kutoka Shilingi 494,496,385.22 hadi 1,031,280,772.87, ongezeko la umeme limechochea uchakataji wa mazao na idadi ya viwanda imeongezeka kutoka 873 hadi 1,782, huku TANESCO Mkoa ukiidhinishwa kutumia Shilingi 10,838,286,911 kwa miradi ya matengenezo (17), voltage improvement (31), usambazaji mipya (25), kuunganisha wateja wapya 11,096 na mradi wa usambazaji umeme Vitongoji 75, mradi utakamilika 04.09.2026, hatua ya mradi ipo kwenye usanifu na ununuzi wa vifaa.
| Kipengele | Maelezo | Gharama |Idadi | Tarehe |Hali |
|---|---|---|---|
| Uunganishaji na Gridi ya Taifa (chini ya Rais Samia) | Wilaya za Mlele, Nsimbo, Tanganyika | Shilingi 116 Bilioni | Hadi Juni 2025 |
| Ujenzi wa njia ya 132KV | Kutoka Tabora hadi Katavi (km 383) | Imejumuishwa kwenye Shilingi 116 Bilioni | - |
| Vituo vya kupoozea umeme | Inyonga (12MW), Mpanda (28MW) | Imejumuishwa kwenye Shilingi 116 Bilioni | - |
| Mapokezi ya fedha kwa miradi ya umeme | Upanuzi wa mtandao, Voltage Improvement, kupeleka umeme vijijini | Shilingi 196.402 Bilioni | 2020|2021–2024|25 |
| Vitongoji vilivyounganishwa | Vitongoji 504 kati ya 912 | - | Juni 2025 |
| Vitongoji vilivyo baki | 408 | - | Mpango wa bajeti 2025|2026 |
| Wateja wa umeme | Kuongeza kutoka 23,312 hadi 42,567 | - | 2020|21 – Juni 2025 |
| Mapato ya mwezi | Kutoka Shilingi 494,496,385.22 hadi 1,031,280,772.87 | - | 2020|21 – Juni 2025 |
| Idadi ya viwanda | Kuongeza kutoka 873 hadi 1,782 | - | 2021 – Juni 2025 |
| Fedha za miradi ya maendeleo 2024|25 | Matengenezo ya miundombinu (17 miradi) | Shilingi 2,074,626,028 | 2024|25 |
| Voltage Improvement (31 miradi) | Shilingi 2,809,989,880 | 2024|25 | |
| Miradi mipya ya usambazaji (25 miradi) | Shilingi 2,223,777,753 | 2024|25 | |
| Kuunganisha wateja wapya 11,096 | Shilingi 3,729,893,250 | 2024|25 | |
| Usambazaji umeme Vitongoji 75 | Shilingi 9,541,080,476.44 | Mradi utakamilika 04.09.2026 |