PICHA: Rais J.Kikwete na Rais J.Banda wa Malawi wakutana Msumbiji na kuzungumzia Mgogoro wa Mpaka

jkbandamikono.jpg

The way alivyo weak kwa visketi we knew he will never accept the war against sweet!
 
hapo ziwa lipo sidhani kama jk atakubali kirahisi kurubuniwa na huyo mama,kwanza mama mwenyewe keshalegea huyo.!

Na asivoipenda Mbeya, huenda yeye ndo kawastua wamalawi kulipa kisasi cha ku popolewa na mawe. Baada ya hapo tujiandae kupeleka mlima Kilimanjaro Kenya na ziwa victoria uganda na kenya.
 
JK akishindwa kutumia busara za kidiplomasia atumie plan B nadhani huyu mama sijui kama ana mume so akili kumkichwa huyu baba ni hodari kidogo kwa mambo hayo sura pia inachangia, sorry kwa ushauri wa kijinga anyway.
 
Kwa hesabu za haraka haraka, huyu mama bado anajipa moyo kuwa Ziwa lote ni la kwao! Wakishindwana katika ile kamati, ndo ngoma itakuwa inaanza kuchezwa sasa. Manake hapa ni kutulizana tu, subiri Wanyasa wakomae kuwa hata nusu ya ziwa hawatoi!
 
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni.Kafanya mengi mabaya Kikwete, lakini hili jema.Viva Kikwete.This is the best way out.
jkbandamikono.jpg

The way alivyo weak kwa visketi we knew he will never accept the war against sweet!
 
Hapo haliharibiki neno. Naona hata kwenye mipete yao vidoleni ni sare sare.
 
Back
Top Bottom