Njoka Ereguu
JF-Expert Member
- Apr 7, 2012
- 821
- 335
Vita ilikuzwa na magazeti na wanasiasa wetu lakini vinginevyo hakuna vita hapo kila kitu kiko wazi. Ni vyema watu kuwa makini na hili suala kuliko kushabikia. Baadhi yetu tunataka kufanya mtaji huu.