mwengeso
JF-Expert Member
- Nov 27, 2014
- 9,219
- 6,650
Unajitambua?Hivi shetani akiombewa anaweza akasamehewa? Najaribu kuwaza tu kwa maandishi
Unajitambua?Hivi shetani akiombewa anaweza akasamehewa? Najaribu kuwaza tu kwa maandishi
Dah.Aombewe ili afanye nini kama kuombewa anombewa kila siku anacho fanya hakionekani
Mbona bukoba alifungua tawi la kagera farmers na hotel ya chama cha ushirika cha kahawaKuna Msemo sikio LA kifo halisikii dawa, huyu Rais tuliyenaye ht Yesu angekuwepo nyakati hizi angemwambia asimpangie cha kufanya. Utawala wake, hajui ugawanaji wa majukumu mpk matawi ya bank anaenda kuzindua. MBNA hatukuwahi kusikia JK akifungua tawi LA bank tena CRDB