Huyo kafulia vibaya sana siwezi kushangaa akiamua kujificha kwenye hilo chaka.
Ila kakumbuka shuka kumekucha. Wenzie wanatoka ye ndo anakumbuka kuingia?
Siku zote alikua wapi? Bahati mbaya kaingia kipindi kibaya ambapo kakuta chama lenyewe ndo limeshazikwa rasmi.
Wabongo kwa kuiga hatujambo. Kisa mvuta bange kaingia mgodini kaibuka na dhahabu basi kijiwe kizima wanataka wazamie huko pasipokujua bahati ya mwenzio huwezi kuilalia mlango wazi. Na akumbuke wananchi wanalalamika kwa makosa waliyoyafanya mbeya kwa kumpeleka bungeni mvuta mbangi.
Alafu siku hizi huyo jamaa ni mpambe wa lady jay dee na inasemekana yeye ndo chanza cha kuisambaratisha ndoa ya jide na gardner, kisa umbea ili anunuliwe bia.
ARV zinafanya kazi vizuri make naona mchizi kanawili ile mbaya...
Tunawatakia kila laheri yeye pamoja na yule mchizi wa moro aliyevua stejini akabaki na pajama(boxer) katika harakati zao za kusaka tonge baada ya wapaka poda kuwakimbiza kwenye ulingo wa muziki.