PICHA: Prof. Jay akiinadi CHADEMA Ifakara

PICHA: Prof. Jay akiinadi CHADEMA Ifakara

Huyu tunasubiri mda wa kikatiba tumpe jimbo
 
Hapo amekosekana Afande Sele, Mbunge mtarajiwa wa Morogoro mjini kupitia CHADEMA.

View attachment 176989


Kapuya4.jpg
 
Huyo kafulia vibaya sana siwezi kushangaa akiamua kujificha kwenye hilo chaka.

Ila kakumbuka shuka kumekucha. Wenzie wanatoka ye ndo anakumbuka kuingia?

Siku zote alikua wapi? Bahati mbaya kaingia kipindi kibaya ambapo kakuta chama lenyewe ndo limeshazikwa rasmi.

Wabongo kwa kuiga hatujambo. Kisa mvuta bange kaingia mgodini kaibuka na dhahabu basi kijiwe kizima wanataka wazamie huko pasipokujua bahati ya mwenzio huwezi kuilalia mlango wazi. Na akumbuke wananchi wanalalamika kwa makosa waliyoyafanya mbeya kwa kumpeleka bungeni mvuta mbangi.

Alafu siku hizi huyo jamaa ni mpambe wa lady jay dee na inasemekana yeye ndo chanza cha kuisambaratisha ndoa ya jide na gardner, kisa umbea ili anunuliwe bia.

ARV zinafanya kazi vizuri make naona mchizi kanawili ile mbaya...

Tunawatakia kila laheri yeye pamoja na yule mchizi wa moro aliyevua stejini akabaki na pajama(boxer) katika harakati zao za kusaka tonge baada ya wapaka poda kuwakimbiza kwenye ulingo wa muziki.

Unapojibu simama kwenye mada husika bhana..! Mambo ya ARV, sijui kusaka tonge, Lady Jay D.. yanahusiana vipi na topic ya mtoa mada? WEWE NDIO MBEA MKUBWA!!
 
Is it just me who thinks this guys flow is lame, lyrics are weak mi hata sielewi washabiki wake mwana fa ndio mfalme.
 
Haha ha ha ha tetete teh teh... ina maana hapo alikua anatangaza biashara ya kisamvu cha kopo au mibange ndo ilikua inamdatisha??? Dah duniani kuna watu na viatu.

bangi zinamtesa huyu. Alafu wao wanasema ndo mbunge wao mtarajiwa
 
Ila ukiiweka political alignment yako in public alaf wewe ni public figure; ina negative effects nyingi sn coz mashabiki wa Jay c wote wana CHADEMA
 
safi kamanda kimbiza pamoja sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

attachment.php

Pro.Jay Ifakara Jana
Mpe neno la kizalendo[/QUOTE]
 
Huyo kafulia vibaya sana siwezi kushangaa akiamua kujificha kwenye hilo chaka.

Ila kakumbuka shuka kumekucha. Wenzie wanatoka ye ndo anakumbuka kuingia?

Siku zote alikua wapi? Bahati mbaya kaingia kipindi kibaya ambapo kakuta chama lenyewe ndo limeshazikwa rasmi.

Wabongo kwa kuiga hatujambo. Kisa mvuta bange kaingia mgodini kaibuka na dhahabu basi kijiwe kizima wanataka wazamie huko pasipokujua bahati ya mwenzio huwezi kuilalia mlango wazi. Na akumbuke wananchi wanalalamika kwa makosa waliyoyafanya mbeya kwa kumpeleka bungeni mvuta mbangi.

Alafu siku hizi huyo jamaa ni mpambe wa lady jay dee na inasemekana yeye ndo chanza cha kuisambaratisha ndoa ya jide na gardner, kisa umbea ili anunuliwe bia.

ARV zinafanya kazi vizuri make naona mchizi kanawili ile mbaya...

Tunawatakia kila laheri yeye pamoja na yule mchizi wa moro aliyevua stejini akabaki na pajama(boxer) katika harakati zao za kusaka tonge baada ya wapaka poda kuwakimbiza kwenye ulingo wa muziki.

Kiruu hivi mpaka sas kuna mtu anathubutu kumsonda mwenzake kidole juu ya ukimwi kweli!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Huyu mwenzake anayegombea morogoro mjini yupo wapi na mibangi yake.
 
Kafanya huyu imekuwa nongwa, ila wakifanya SAMBAZA UPENDO ,utasikia Mara oooh wamethubutu, ohhh Mara kama RIhana. Hii picha wala sio issue kama vipi njoo ferry ujionee.

Mkuu maji yakishamwagika hayazoleki, hata Afande Sele mwenyewe anajuta sana kufanya kitendo hichi,
historia ndio inamhukumu ila bangi zilimponza!
 
Back
Top Bottom