Picha: Polepole ndio alikuwa amesuka hili gazeti?

Picha: Polepole ndio alikuwa amesuka hili gazeti?

Nucky Thompson

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2016
Posts
2,194
Reaction score
4,802
Polepole kabla hajawa balozi msimamo wake ni kuwa hii ni awamu ya 5 na Samia hatakiwi kugombea tena baada ya kumaliza hii miaka 4 iliyokuwa imebaki

Na amejiuzulu ubalozi kwa sababu mchakato wa kupata wagombea (wa Urals) haukuwa sahihi

He ndio yeye alikuwa nyuma ya hawa waliondika hili gazeti?
downloadfile-1.jpg
 
Polepole kabla hajawa balozi msimamo wake ni kuwa hii ni awamu ya 5 na Samia hatakiwi kugombea tena baada ya kumaliza hii miaka 4 iliyokuwa imebaki

Na amejiuzulu ubalozi kwa sababu mchakato wa kupata wagombea (wa Urals) haukuwa sahihi

He ndio yeye alikuwa nyuma ya hawa waliondika hili gazeti?
View attachment 3407078
downloadfile.jpg
 
Polepole kabla hajawa balozi msimamo wake ni kuwa hii ni awamu ya 5 na Samia hatakiwi kugombea tena baada ya kumaliza hii miaka 4 iliyokuwa imebaki

Na amejiuzulu ubalozi kwa sababu mchakato wa kupata wagombea (wa Urals) haukuwa sahihi

He ndio yeye alikuwa nyuma ya hawa waliondika hili gazeti?
View attachment 3407078
Huyu Mama ni kweli alijipima akaona hatoshi akatangaza kutoendelea, lakini Wazee wa fursa akiwemo yule yule boss wake wakamng'ata sikio kwamba Usiwe fala wewe, huu ndio wakati wa kuhomola, akapewa mchongo wa kuhomala Bandari, ikatiki, Mengine yote ya Tenda na vyeo mnayajua
 
H
Polepole kabla hajawa balozi msimamo wake ni kuwa hii ni awamu ya 5 na Samia hatakiwi kugombea tena baada ya kumaliza hii miaka 4 iliyokuwa imebaki

Na amejiuzulu ubalozi kwa sababu mchakato wa kupata wagombea (wa Urals) haukuwa sahihi

He ndio yeye alikuwa nyuma ya hawa waliondika hili gazeti?
View attachment 3407078
Hee makubwa!
 
Polepole kabla hajawa balozi msimamo wake ni kuwa hii ni awamu ya 5 na Samia hatakiwi kugombea tena baada ya kumaliza hii miaka 4 iliyokuwa imebaki

Na amejiuzulu ubalozi kwa sababu mchakato wa kupata wagombea (wa Urals) haukuwa sahihi

He ndio yeye alikuwa nyuma ya hawa waliondika hili gazeti?
View attachment 3407078
Aliyasema s100 mwenyewe siku za kwanza alipokabidhiwa
 
Back
Top Bottom