Picha: Polepole ndio alikuwa amesuka hili gazeti?

Picha: Polepole ndio alikuwa amesuka hili gazeti?

Polepole kabla hajawa balozi msimamo wake ni kuwa hii ni awamu ya 5 na Samia hatakiwi kugombea tena baada ya kumaliza hii miaka 4 iliyokuwa imebaki

Na amejiuzulu ubalozi kwa sababu mchakato wa kupata wagombea (wa Urals) haukuwa sahihi

He ndio yeye alikuwa nyuma ya hawa waliondika hili gazeti?
View attachment 3407078
IMG-20250714-WA0034.jpg
 
Msajili wa vyama hajawahi kutia neno jinsi mgombea wa CCM alivyopatikana.

Kama walikiuka katiba yao yeye si ndiyo mlezi wa vyama lakini kimya kana kwamba hakuna lolote baya.
 
Back
Top Bottom