John mungo
JF-Expert Member
- Dec 8, 2013
- 1,008
- 1,029
Pia nyegere ni bingwa wa Kula nyoka, na hata nyoka awe mkubwa, na pia sumu kali vipi ataliwa tuu na nyegere.
Inasemekana ile sumu ya nyoka kwa nyegere ndo sawa na kilevi chake kikubwa.
Inasemekana ile sumu ya nyoka kwa nyegere ndo sawa na kilevi chake kikubwa.