Picha: Nyegere

Picha: Nyegere

Ila mimi nipo siku nyingi tu .. karibu ndo mwanzo wa kumfahamu Nyegere as they say JF ni kisima cha maarifa maana sasa utaweza kufuatilia links & sources nyingi ili kumfahamu zaidi huyu kiumbe

....Bora leo wamekujuwa !!!
 
Kama uliangalia ile movie ya the god must be crazy utaelewa ubishi wa huyu kiumbe
 
Kumbe ndio kanaitwa nyegere
Yees! ... ndio mimi! .. Nyegere aka The Honey Badger - Mellivora capensis! ... U r welcome

846915f9e693632d1789397303e370660e8a3b38915a5ba8283df7a8170f5b2b.jpg
 
Huyu mnyama ana wivu sana.Akikutana na binadamu mwanamume kitu anachovizia kushambulia ni 'Korodani'..
Chezea Nyegere wewe..
 
Duuh! Ndio kwanza nimemjua hapa hii leo.Sasa mkuu Nyegere huyu mnyama kwa hapa Tanzania anapatikana maeneo gani?
 
Last edited by a moderator:
Duuh! Ndio kwanza nimemjua hapa hii leo.Sasa mkuu Nyegere huyu mnyama kwa hapa Tanzania anapatikana maeneo gani?
nifah .... Kwa Tanzania hupatika zaidi Kanda ya kaskazini hasa sehemu za Milima ya Kamwala wilayani Mwanga-Kilimanjaro. Pia hupatikana kanda ya ziwa Mara-Musoma,Bunda na Srengeti Mwanza- Sehemu za Sumve na Misungwi. Kuna aina mbalimbali za Nyegere, katkaka mazingira yetu aina mbili ndizo zinapatikana kwa wingi. Yakwanza ni wale weusi mwili wote na aina ya pili ni wale wenye weupe katika mikia yao hasa katika ncha ya mkia.


Nyegere hua katika utafutaji wa chakula wakati wa usiku zaidi ni vigumu kumkuta nyegere akiwa anazurura wakati wa mchana, wakati wa mchana anakua katika pango au sehemu za vichaka. Nyegere hupendelea kula kuku na ni tatizo kubwa sana kwa wafugaji wa kuku hasa wale wanaofuga kwa kuwaachia kuku huru, ufugaji horera.


Nyegere ni Mnyama mkali japo mdogo kwa umbo, Nyegere anapokasirishwa maranyingi lazima afanye kitu kibaya kwa manadamu kama utashindwa kumuwahi na kumdhibiti( kwa lale wanaotokea Kilimanjaro hasa milima ya Upareni-Kamwala mwanga anajilikana kama MBA)


Inasemekana kua MBA-Nyegere anapokutana na mwanaume hukimbilia kung'ata sehemu za siri, na mwanamke hukimbilia Matiti. Japo kwangu mimi sijawahi kukutana na kesi kama hiyo ya mtu aliyepata tatizo la kung'atwa matiti au hesemu za siri.

N.B:

Unakumbuka tukio lililotokea Tanzania ambapo hata kwenye magazeti liliripotiwa la Nyegere kushambulia familia?

Soma zaidi links:


 
nifah .... Kwa Tanzania hupatika zaidi Kanda ya kaskazini hasa sehemu za Milima ya Kamwala wilayani Mwanga-Kilimanjaro. Pia hupatikana kanda ya ziwa Mara-Musoma,Bunda na Srengeti Mwanza- Sehemu za Sumve na Misungwi. Kuna aina mbalimbali za Nyegere, katkaka mazingira yetu aina mbili ndizo zinapatikana kwa wingi. Yakwanza ni wale weusi mwili wote na aina ya pili ni wale wenye weupe katika mikia yao hasa katika ncha ya mkia.


Nyegere hua katika utafutaji wa chakula wakati wa usiku zaidi ni vigumu kumkuta nyegere akiwa anazurura wakati wa mchana, wakati wa mchana anakua katika pango au sehemu za vichaka. Nyegere hupendelea kula kuku na ni tatizo kubwa sana kwa wafugaji wa kuku hasa wale wanaofuga kwa kuwaachia kuku huru, ufugaji horera.


Nyegere ni Mnyama mkali japo mdogo kwa umbo, Nyegere anapokasirishwa maranyingi lazima afanye kitu kibaya kwa manadamu kama utashindwa kumuwahi na kumdhibiti( kwa lale wanaotokea Kilimanjaro hasa milima ya Upareni-Kamwala mwanga anajilikana kama MBA)


Inasemekana kua MBA-Nyegere anapokutana na mwanaume hukimbilia kung'ata sehemu za siri, na mwanamke hukimbilia Matiti. Japo kwangu mimi sijawahi kukutana na kesi kama hiyo ya mtu aliyepata tatizo la kung'atwa matiti au hesemu za siri.

N.B:

Unakumbuka tukio lililotokea Tanzania ambapo hata kwenye magazeti liliripotiwa la Nyegere kushambulia familia?

Soma zaidi links:

https://www.google.co.tz/url?sa=t&r...=lW_--e9PeRDxIYsfld0sUQ&bvm=bv.90491159,d.ZGU.

Ahsante sana mkuu Nyegere kwa elimu hii,hakika nimekuelewa vizuri sana.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom