TUBU TUBU TUBU NA KIRI UMWOMBE MSAMAHA AMERUDI JAMAA. WALIOKUTUMA NA KUKUTUMIA WAMEKUTUPA HUNA PA KWENDA. Njoo mwana mpotevu hakuna dhambi isiposameheka ukitubu kwa dhati omba msamaha kwa dhati kwa kadamnasi na useme wazi uliwajeruhi wakusamehe. Hatia ya dhambi itafutwa hutaamini Ndugu Daudi Bashite trust in GOD