mwekundu
JF-Expert Member
- Mar 4, 2013
- 22,477
- 21,025
Hivi nyie wadada tuwafanyieni nini mtupe amani ya moyo kwa mapenzi ya dhati,fedha mnatuchuna,kitandani tunawajibika tena sana hadi unanisifia kwa rafiki zako,naku care hadi nakulamba miguu na papuchi ila bado tu.........hamna shukurani ,na ukaamua kunitosa ,,,,lol........ nenda dada nenda dada "am a fool again" lakini malipo hapahapa duniani
hembu niambie wapi nimekosea wana MMU wenzangu:embarrassed1:
hembu niambie wapi nimekosea wana MMU wenzangu:embarrassed1: