Kibanga Ampiga Mkoloni
JF-Expert Member
- Aug 9, 2007
- 19,021
- 9,177
Si ndevu tu. Nimejaribu kufikiri hayo mavazi yanaashiria nini sipati jibu. Nyota kwenye kofia yake imekaa ki-Mao, sasa yeye na Mao wapi na wapi! Huyu kasoma vizuri, lakini bila shaka anahitaji msaada fulani.Mkuu KIBANGA ampiga mkoloni,huyu Naibu Katibu Mkuu wangu amebadilika sana.Hizi ndevu zisizo na maana lazima zitakuwa zinaathiri utendaji wake tu. Zimekaa kivivu,kikatili na kutojali.
Makamanda wa ccm wanatisha wako tayari kwa ajili ya kuangamiza ufalme wa mzee kufokafoka na kutema mate jukwaani aka mla unga Chuguuuuuuu.
Makamanda wa ccm wanatisha wako tayari kwa ajili ya kuangamiza ufalme wa mzee kufokafoka na kutema mate jukwaani aka mla unga Chuguuuuuuu.
hawa magamba wanakula nn mbona kila mtu tumbo mbele maendeleo nyuma!