FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 40,530
- 46,614
Daah, mmeanza sasa, tuanze kuona wake zetu wabaya, si ndio mnachotaka au?
Daah, mmeanza sasa, tuanze kuona wake zetu wabaya, si ndio mnachotaka au?
Now I can understand as to why OS had to say what he said before the Judge could wind up the case.
Kausha huyu dem nimesoma nae lazima nimgegede haki ya nani saiv yupo Arusha tunaish nae hapa njiro
Kausha huyu dem nimesoma nae lazima nimgegede haki ya nani saiv yupo Arusha tunaish nae hapa njiro
Kausha huyu dem nimesoma nae lazima nimgegede haki ya nani saiv yupo Arusha tunaish nae hapa njiro
Nipe connection mkuu nipo njiro apa.Kausha huyu dem nimesoma nae lazima nimgegede haki ya nani saiv yupo Arusha tunaish nae hapa njiro
Ondoa Shaka mkuu ngoja nimgegede kwanzaNipe connection mkuu nipo njiro apa.
Dada Mungu amekuepusha na laana tena laana ya Kizazi chako hebu fikiria ungezaa na Sabaya mtoto aitwe Meluneki Sabaya...Jina ambalo watu wanaliona kama katiri hatari na baya zaidi..Watoto wako wangesumbuka sana maishani kwao..
Piga magoti mshukuru Mungu lakini na wewe ulikuaje na mchumba katiri kama Sabaya?


Sio kwamba Ni spy alitumwa kupeleleza baadhi ya Mambo na kusababisha ushaidi ukamilike na jamaa atiwe mvua?😄😄😄😄😄
Kabisa demu mrefu vile anaolewa na omoro odinga😄😄😄😄😄😄Alifata pesa kwa mheshimiwa
Ni chombo aisee
Mungu fundi