Picha:mnyika kabla hajawa mbunge..

Picha:mnyika kabla hajawa mbunge..

Sasa naamini kweli bila kumtaja Slaa huko Lumumba hakuna malipo. Duh! Masharti magumu kweli aisee.

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums

Ukisema Lumumba nadhani unamaanisha ccm. Mimi sijawahi kuwa mwanachama wa ccm na wala sijawahi kumpigia kura mgombea wa ccm.
A guess will never be a substitute of the truth.
 
1011576_560271317368681_2116201924_n.jpg

HAPO PANA NA JOHN MNYIKA NA MBOWE..

nimeipenda hii
 
Always watu walioishiwa hoja huja na hoja nyepesi kama kujadili watu ambazo mwisho wa siku hazisaidii na wala hazimsaidii alieziweka,ukijiuliza nini lengo la mleta uzi huu utaona ni majungu tu

Hata baba yako alivyo sasa ni tofauti alivyokuwa miaka 10 au 7 iliyopita hata wewe hebu weka picha zako miaka 5 iliyopita na saa hivi au weka ya baba yako kipindi hicho na sasa hivi
Na wengine kwa kukosa aibu wananchangia ujinga tu sababu mtu kaweka ujinga ili ikusaidie nini? Ina impact gani kwako wewe muweka uzi na wewe uliyechangia?

Kuna vipindi vya mabadiliko kwa binadamu yeyote we unategemea utakuwa hivyo ulivyo hadi uzeeke?

Mnaiga tu mkumbo sababu mtu kaweka kitu lazima uchangie hata kama ni uozo THINK BIG wewe ulieona ni sifa kuandika utumbo humu hebu weka ya baba yako kipindi hicho na sasa hivi poor muhindi wa kuchonga somji

dah.!unanionea bure mkuu..
mimi ni CHADEMA DAMU..
Nia ya kuileta hapa ni kuwaonesha vijana wenzangu kua watu wanatoka mbali,hivo tusikate tamaa..

NIMEKUSAMEHE BURE MKUU..
 
Ubunge mtamu,sasa ndio nimejua sababu ya vijana kujitosa kwenye siasa. Dogo alikua choka mbaya namna hii. Siku hizi kajua hata kuvaa vizuri.
Acha kejeli, alikuwa bado mdogo. Na hata sasa bado ni mdogo ukilinganisha na magwiji vidampa wa ccm. Kuwa mbunge wa jimbo la Ubungo ni jambo linalowafkirisha sana ccm!
 
Kwani sasa hivi anafananaje?.......weka before & after ubunge ndio utaeleweka!
 
[h=2]Dk. Imani Kondo "Zemarcopolo" atangaza nia 05/06/2010[/h]



9873693.jpg
Dk. Imani Hamza Kondo

Mwanablogu mwenzetu Dk. Imani Hamza Kondo mbaye kwenye dunia ya kublogu anafahamika kwa jina la Zemarcopolo, ametangaza nia ya kugombea ubunge wa jimbo la Morogoro Kusini Mashariki kwa tiketi ya CCM.

Dk. Imani anaomba ushirikiano na maombi kwa Mungu ili uchaguzi uende vizuri na sote tufanikiwe kupata matokeo yenye manufaa kwa taifa letu tunalolipenda.

Yeyote atakayehitaji taarifa zaidi asisite kuwasiliana naye moja kwa moja kupitia zemarcpolo@yah



Source: Dk. Imani Kondo "Zemarcopolo" atangaza nia - wavuti.com

Choka mbaya...
 
Binadamu huwa anabadilika, kama vile wewe ulivyotofauti ukilinganisha na miaka kumi nyuma
 
pole kama haumjui mnyika wasasa anafananaje,siwezi kujisumbua kwa hilo..

Basi usingejisumbua pia kumuweka huyo Mnyika wa zamani....what was your implication? kwamba anavaa vizuri zaidi siku hizi? kanenepa ? kaota ndevu ? kawa na kipara ? hueleweki......
 
Basi usingejisumbua pia kumuweka huyo Mnyika wa zamani....what was your implication? kwamba anavaa vizuri zaidi siku hizi? kanenepa ? kaota ndevu ? kawa na kipara ? hueleweki......

soma tema maneno chini ya picha kisha ndio uAngalie kama kuna swali la kuniuliza hapo..
 
Back
Top Bottom