Ubunge mtamu,sasa ndio nimejua sababu ya vijana kujitosa kwenye siasa. Dogo alikua choka mbaya namna hii. Siku hizi kajua hata kuvaa vizuri.
Kweli mkuu sawa na Vasco baada ya kuingia magogoni, akahongwa Suits za kuvaa safari za nje au mikutano ya kimataifaUbunge mtamu,sasa ndio nimejua sababu ya vijana kujitosa kwenye siasa. Dogo alikua choka mbaya namna hii. Siku hizi kajua hata kuvaa vizuri.
jiongeze wewe.Licha ya kwamba sina uhakika na hoja yako,lakini mmoja akinya sebuleni na wewe unakunya sebuleni kisa mwenzako kafanya.akili za kutazamia changanya an zako!
Choka mbaya...
ilikua mwaka 2006 baada kuibiwa kura na keenja. hapo walikua katika kikao cha kubadilisha katiba ya cdm.![]()
HAPO PANA NA JOHN MNYIKA NA MBOWE..
![]()
HAPO PANA NA JOHN MNYIKA NA MBOWE..
NashukuruNashukulu kwa kunisahihisha naikubali taarifa yako.
Tatizo liko wapo? Mbona Slaa kajiunga chadema jumatatu na ijumaa amekuwa mgombea urais?
jiongeze wewe.Licha ya kwamba sina uhakika na hoja yako,lakini mmoja akinya sebuleni na wewe unakunya sebuleni kisa mwenzako kafanya.akili za kutazamia changanya an zako!
Nashukuru
Tatizo liko wapo? Mbona Slaa kajiunga chadema jumatatu na ijumaa amekuwa mgombea urais?