Baba V
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 19,479
- 9,547
Choka mbaya...
Kinakuuma ee!!??
Choka mbaya...
Ubunge mtamu,sasa ndio nimejua sababu ya vijana kujitosa kwenye siasa. Dogo alikua choka mbaya namna hii. Siku hizi kajua hata kuvaa vizuri.
Acha dhihaka kwa ushabiki wa kisiasa. Hivi ulidhani ataendelea kuwa vile alivyokuwa?
Choka mbaya...
...si unajua dogo mtafutaji kwa haki mwanzo na mafanikio yake yako wazi kabisa sio nyie mtu akipata ubunge/urais gafla watoto mpaka watu aliotoka nao kijijini wanakuwa mamilionea kama prince riz, unga si mchezo...Choka mbaya...
Tatizo liko wapo? Mbona Slaa kajiunga chadema jumatatu na ijumaa amekuwa mgombea urais?
![]()
HAPO PANA NA JOHN MNYIKA NA MBOWE..
Kumbe tatizo lako ni maslahi, mfuate MwiguluUbunge mtamu,sasa ndio nimejua sababu ya vijana kujitosa kwenye siasa. Dogo alikua choka mbaya namna hii. Siku hizi kajua hata kuvaa vizuri.
Tatizo liko wapo? Mbona Slaa kajiunga chadema jumatatu na ijumaa amekuwa mgombea urais?
Ha ha ha! Kumbe ubunge umemrutubisha mwili!
Kwa staili hiyo mtaishia kuongoza chama.Tatizo liko wapo? Mbona Slaa kajiunga chadema jumatatu na ijumaa amekuwa mgombea urais?
Wakati huo hata huyo Mwigulu sijui alikuwa anachomea wapi mahindi.....sasa hivi anajiona mjuaji.