PICHA: Mkutano wa mgombea ubunge Vunjo CCM

PICHA: Mkutano wa mgombea ubunge Vunjo CCM

Qwi qwi qwiii,mwaka huu wagombea weng sana watakula hasara asee.
CCM R.I.P
 
Jua la Dar na Himo lipo sawa?au mgeni eneo hilo?

Sio jua tu. Vumbi pia ni shida. Na actually wamekaa pembeni kama tu wanavyoagaliaga mipira hapo. Ona hata picha zinaonyesha kuna watu then nafasi halafu hilo kundi lililo jukwaani
 
Mi shida yangu nione hapo uliposimama wewe pana watu kivulini ama ni miti imejaa? Mnk co unawasumbua watu wako kuchangia kumbe ukweli umeuficha
 
CCM ni sawa na UKOO WA PANYA, Baba mwizi, mama mwizi, mtoto mwizi, kaka mwizi , dada mwizi, Babu Mwizi, Bibi mwizi, shemeji mwizi,mkwe mwizi,Tumia dawa kali aina ya CHADEMA!. Uweze kuangamiza ukoo wa mapanya waharibifu aina ya CCM!!!! Vinginevyo ukicheka na mapanya utaambulia....Ufisadi.Tuma sms hii kwa watu 15 kuiangamiza familia hii ya panya mwaka 2015 ktk uchaguzi mkuu.INUSURU TZ YETU!!!

Viva UKAWA Viva NCCR Mageuzi viva Mbatia
 
Panya wote waliokuwa CCM wamesha tupwa
Na wamehamia chadema
Sasa wewe ambae hujitambui utajitambua siku ambayo utajikuta umesobwa na mafuliko hadi kwenye mto
 
Inamaana hizo pikipiki nazo mwaka huu zitaenda kupiga kura?
 
Mi shida yangu nione hapo uliposimama wewe pana watu kivulini ama ni miti imejaa? Mnk co unawasumbua watu wako kuchangia kumbe ukweli umeuficha

Hata ukiona through picha, hapa watu wanajtambua joo!
 
Huyo sio mbunge bali n mjumbe wa kampeni wa diwani acheni uzushi nyie 4u movement
 
Back
Top Bottom