usidanganye wewe,mbatia kazindua jana hapo uwanja wa Marangu TTC na watu walikuwa kibaaaaaao sana!huyo ni Innocent wenu amedodaWatu wanamdharau sana Innocent ,juzi kaja marangu mtoni watu hata hawamchangamkii wanamuona kama lofa flan kaamua kuishia zake huko Kilema
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.