PICHA: Mkutano wa mgombea ubunge Vunjo CCM

PICHA: Mkutano wa mgombea ubunge Vunjo CCM

TODAYS

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2014
Posts
15,265
Reaction score
25,539
Angalia kila picha kwa macho yako mawili.
 

Attachments

  • 1441561624081.jpg
    1441561624081.jpg
    79.1 KB · Views: 8,305
  • 1441561647810.jpg
    1441561647810.jpg
    61.3 KB · Views: 8,223
Mhh kijana mdogo alitokea wapi kugombea Ccm halafu Vunjo kule ccm ni chama cha upinzani ati.
 
uongo huo mwwnzio akiwa kwenye kampeni we huruhusiwi kupiga kampen Leo huko alikuepo mbatia
 
usidanganye wewe,mbatia kazindua jana hapo uwanja wa Marangu TTC na watu walikuwa kibaaaaaao sana!huyo ni Innocent wenu amedoda•Watu wanamdharau sana Innocent ,juzi kaja marangu mtoni watu hata hawamchangamkii wanamuona kama lofa flan kaamua kuishia zake huko Kilema
 
Mpiga kampen anajiita mtoto wa silinde alipokuwa anamnadi dogo #innocent shirima alikuwa anatoa lugha mbaya kwa ENL.
Watu wengine wantafuta lawama za bure kabisa. Haya mwacheni ahutubie miti na hiyo mibendera inayoleta kichefuchefu
 
Kama hujui mikutano na ratiba zilivyo kaa kimya.
uongo huo mwwnzio akiwa kwenye kampeni we huruhusiwi kupiga kampen Leo huko alikuepo mbatia
Mbatia alikuwa Marangu jana, sijui tatizo lako nini.?
 
ccm kwisha kabisaaa. m


batia jichukulie jimbo hilooo
 
Back
Top Bottom