PICHA: Mkutano wa mgombea ubunge Vunjo CCM

PICHA: Mkutano wa mgombea ubunge Vunjo CCM

usidanganye wewe,mbatia kazindua jana hapo uwanja wa Marangu TTC na watu walikuwa kibaaaaaao sana!huyo ni Innocent wenu amedoda•Watu wanamdharau sana Innocent ,juzi kaja marangu mtoni watu hata hawamchangamkii wanamuona kama lofa flan kaamua kuishia zake huko Kilema

Mkuu jamaa kasema ni mgombea ubunge wa vunjo kupitia ccm.
Jana nilikuwepo pale marangu chuoni. Hakika mbatia alijaza watu.
Huyu innocent tulimshauri akazindue kesho jumatatu pale himo sokoni maana kitakuwa na watu kibao wakipiga biashara.
 
Mpiga kampen anajiita mtoto wa silinde alipokuwa anamnadi dogo #innocent shirima alikuwa anatoa lugha mbaya kwa ENL.

ccm wamefikia mahali wanataka watz wawaonee huruma.....hawana sera.
HAKUA MBUGE WA CCM LIYEWAHI KUWATETEA WATZ!!!!
 
Angalia kila picha kwa macho yako mawili.

Huyu Inno Meleck namuonaga akipaishwaga hewani na demu wake Olivia Sanare tu, zaidi ya hapo sijawahi kujuaga hata CCM huko Vunjo walimchagulia nini!! Kama yeye ndio best wa CCM pale Vunjo basi walioachwa sijui wana hali gani
 
Mwaka huu maccm wataisoma namba kimbunga cha UKAWA ni noma sana! Octoba 25 ni kuwang'oa tu kupitia sanduku la kura
 
Hilo eneo lina jua sana. Watu wamejificha vivulini. Picha haionyeshi hali halisi
 
Kwani ni mkutano wa waendesha bodaboda?

Naona mapikipiki pamoja na Mabendera, kulikuwa na shughuri gani? Au ni mgomo wa waendesha bodaboda?

BACK TANGANYIKA
 
Innocent we ni shujaa, umeonyesha nia ya kweli, sasa rudi Kinzudi Salasala uimarishe biashara zako. Ona sasa wanakuwekea bango la maisha yako binafsi. Kubali yaishe

Subiri kipindi kijacho.

God Bless You Bro.
 
Ningekuwa mimi huyo jamaa ningechukua hizo hela na kuzigeuza mtaji wa kufanyia biashara.
Ni fedhea ambapo ataishia nafasi ya tatu.
 
huku tulishaimaliza zamani na maendeleo tunajiiletea mengine wanajipendekeza kuyaleta
kazi kwenu mikoani tutuunganisha kumaliza kazi
 
Sasa wenye bodaboda bendera wamepewa na nanani
 
Na hao bodaboda wamewekewa mafuta ya kutosha, ccm mtasoma no, mwaka huu..!!
 
Kwani ni mkutano wa waendesha bodaboda?

Naona mapikipiki pamoja na Mabendera, kulikuwa na shughuri gani? Au ni mgomo wa waendesha bodaboda?

BACK TANGANYIKA
ilikuwa shughuli ya dogo huyo hapo mkuu...
 

Attachments

  • 1441806832587.jpg
    1441806832587.jpg
    47 KB · Views: 487
Back
Top Bottom