KOMBAJR
JF-Expert Member
- Nov 15, 2011
- 5,827
- 1,271
Wamasai wameshituka na nina sikia watakinukisha kama kule Ntwara yangu macho na masikio...
hapa ndipo m4c inapokuwa msingi mkuu.elimu ya uraia ni muhimu sana katika kipindi hiki kuliko wakati mwingine wowote na cyo mjini nguvu zielekezwe vijijini kule ambapo ccm wanaendelea kuwafanya raia misukule