Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,012
M4C with no apology!
Walisema na kujiapiza kuwa Chadema haiwezi kukubarika kusini....lakini wanachokishuhudia hapa leo hawawezi aminiRejao na ritz hapa Kama kituo cha polisi wanaonekana Mara chache sana
Walisema na kujiapiza kuwa Chadema haiwezi kukubarika kusini....lakini wanachokishuhudia hapa leo hawawezi amini
machoni mwao. shame on them
Biashara ya Wachagga. Mbowe anaonekana katoa jicho kwenye noti iliyoshikiliwa na mzee maskini muuza korosho. Chairman Mbowe hana huruma pamoja na yeye kuwa na mahoteli na danguro la Bilicanas.
Hivi ni kazi ya chairman kushiriki moja kwa moja kuwakamua wakulima maskini? kwanini kama ni lazima kuwakamua asiwaachie wengne? Inaeleweka kuwa chalii Lema ndo anaiweza vizuri hiyo kazi ya kudhulumu - au hawaaminiani?
Epileptic patients have reduced capacity to think beyond their basic needs.
Hata Mrema aliwahi kuteka kila kona za Tz, akawa anabebwa kama maiti na gari lake likawa linasukumwa kilometa nyingi. Wote huo ulikuwa ni usanii na mwisho wa siku wa Tz walipiga kura kwa chama makini, Mangi akala mweleka wa mende, akabaki na mshangao.
Wimbi la sasa la CDM halina tofauti na vuguvugu la Mrema, ni usanii fulani, harakati fulani. Uchaguzi ukija itakula kwao na wataishia kusema 'uchakachuaji wa kura, tumeibiwa, bla bla....nye nye nye'...upuuzi mtupu.
Endeleeni kujidanganya.
Rejao na ritz hapa Kama kituo cha polisi wanaonekana Mara chache sana
Rejao nakupongeza sana kwa ujasili wako! unakufa huku unashangilia kama zuzu!Endeleeni kuhangaika na uharakati wenu. Mwisho wa siku sisi ndio tunaendelea kuishikilia dola. Haya mambo yapo miaka yote, but CCM imeendelea kutawala. Endeleeni kujifariji hapa JF