PICHA; Mkutano wa CHADEMA Newala Jana!

PICHA; Mkutano wa CHADEMA Newala Jana!

hata kama iweje ccm ndio inaanga nani alijua kenya, Malawi, Zambia etc. zitakuwa chini ya upinzani? CDM songa mbele ukombozi uko karibu
 
Hata Mrema aliwahi kuteka kila kona za Tz, akawa anabebwa kama maiti na gari lake likawa linasukumwa kilometa nyingi. Wote huo ulikuwa ni usanii na mwisho wa siku wa Tz walipiga kura kwa chama makini, Mangi akala mweleka wa mende, akabaki na mshangao.

Hujahitimisha hadithi yako. Rais wa awamu wa kwanza akawataka watangaze CCM imeshinda ili wapinzani waende mahakamani. Siku hizi wapinzanzani (mmoja tu CDM) wanalinda kura zao pamoja na kula CCM. Matokeo yake ni machela za CCM maiti.

Usisubiri chunguza chukua hatua
 
Nashukuru sana hata huku kaisho leo tunafungua matawi mawili
 
hiyo picha ya pili inaonyesha taswira ya matumaini, japo maisha ni magumu lakini watu wana nyuso za tabasamu kwa kuwa tumaini lipo
 
"Uhuru wa kusema". Hayo ni mawazo yako. Watz si wa kipindi cha huyo uliyempa jina la mangi. Na watz hawana akili mgando kama unavyowafikiria wewe kiasi kwamba wanashindwa kuelewa uozo uliopo kwenye serikali ya tz inayoongozwa na tapeli "ccm" daima tunahitaji mabadiliko dhidi ya serikali tapeli "ccm"
 
Hata Mrema aliwahi kuteka kila kona za Tz, akawa anabebwa kama maiti na gari lake likawa linasukumwa kilometa nyingi. Wote huo ulikuwa ni usanii na mwisho wa siku wa Tz walipiga kura kwa chama makini, Mangi akala mweleka wa mende, akabaki na mshangao.

Wimbi la sasa la CDM halina tofauti na vuguvugu la Mrema, ni usanii fulani, harakati fulani. Uchaguzi ukija itakula kwao na wataishia kusema 'uchakachuaji wa kura, tumeibiwa, bla bla....nye nye nye'...upuuzi mtupu.

Endeleeni kujidanganya.

Na wewe endelea kujidanganya kwa mambo ya miaka 20 iliyopita!
 
Ukiaangalia piacha kwa makini utaona nyuso za hao vijana zinaonyesha wamefunguliwa na kitu baada ya CDM kumwaga sera.safi M4C.
 
Hadhithi:
Hapo zamani za kale kulikuwa ccm!
walikwendaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa wakalaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa mpaka basi, na hadithi yangu imeishia hapo.
Bibi akaniuliza hadithi yetu inatufundisha nini, nikajibu hakuna marefu yasiyo na ncha
 
Hata Mrema aliwahi kuteka kila kona za Tz, akawa anabebwa kama maiti na gari lake likawa linasukumwa kilometa nyingi. Wote huo ulikuwa ni usanii na mwisho wa siku wa Tz walipiga kura kwa chama makini, Mangi akala mweleka wa mende, akabaki na mshangao.

Wimbi la sasa la CDM halina tofauti na vuguvugu la Mrema, ni usanii fulani, harakati fulani. Uchaguzi ukija itakula kwao na wataishia kusema 'uchakachuaji wa kura, tumeibiwa, bla bla....nye nye nye'...upuuzi mtupu.

Endeleeni kujidanganya.
uLE MWAKA WATU WALIKUWA HAWAJAJUA MAANA YA MABADILIKO LEO HII HUMDANGANYI HATA MTOTO WA CHEKECHEA ANAJUA KUNA VYAMA. SASA WEWE UNAYEWAZA MAMBO YA MWAKA 47 NAKUONEA HURUMA KWANI HUSONGE MBELE BALI UNARUDI NYUMA. KAMATA BOMBA TWENDE......
 
kilicho nivutia babu pamoja na shida ya hela ya chumvi kaamua kidogo alichoncho kuwekeza kutafut haki
 
"Uhuru wa kusema". Hayo ni mawazo yako. Watz si wa kipindi cha huyo uliyempa jina la mangi. Na watz hawana akili mgando kama unavyowafikiria wewe kiasi kwamba wanashindwa kuelewa uozo uliopo kwenye serikali ya tz inayoongozwa na tapeli "ccm" daima tunahitaji mabadiliko dhidi ya serikali tapeli "ccm"
muongezee hakukua na m4c alafu utandawazi ulikuwa mfinyu sasa hivi hata vibabu vinagoogle
 
Huu ni wakati wa peoples power,hakuna anayeweza kuzuia hizi harakati za ukombozi
 
Back
Top Bottom