Maabwe pande sasa hivi Baba V!Nahutorudi tena!Hapana, ni cocaine kama Lumumba, si unakumbuka alichosema mbunge wetu Kapuya..!
kamanda wa kamanda
Jitahidi ulete kila hatua inavyokuja;
Magamba mwaka huu limewaganda mpaka wanaanza kuitana Mizigo.
pamoja sana mkuu tutazita update bila woga
Mkuu Jembe Afrika, punguza hasira kwa mijitu ya ccm iliyojitoa ufahamu. Umetumia "gongo ya mama yako" kama Mod. angejua maeno hayo kwa lugha ya Kinyiha au Kimalila hapa ungekula Ban.
Safi sana makamanda,
Siku zote ninasema Chadema ni Zaidi ya chama cha siasa.
Mungu akiwa upande wetu Ni nani wa kutupinga?
Vichomi uharo vyote vinawabana kwa kwenda mbele...CCMAFISADI kwishnei
Tupo Pamoja sana.Ahsante Chadema.Ahsante Mungu kwa zawadi ya Chadema.