KirilOriginal
JF-Expert Member
- Feb 13, 2012
- 2,161
- 1,147
Kikwete peke yake kwa upande wa maccm ndo atabofya LIKE.... Waliobakia wote ni mshtuko wa moyo!
Hongera sana Mbeya!!!!!
Hongera sana Mbeya!!!!!
Peoplesssss
Umeanza lini kutumia doz,ndio maana adimu sana javini pole sana dogo...Chadema ni sawa na mgonjwa anaekula dose ya ARV
Do we need to argue with anybody!Thanks God, Thanks CHADEMA!
Najaribu kupata picha huko lumumba kuna hali gani,Kila nikimfikiria mzee wa Ndovu naona kama muda sio ataenda kutibiwa south.....presha juu......hongera CDM mnazidi kudhihirisha ubora wenu,mnazidi kutuaminisha hatuhitaji chama mbadala wa CDM kama mpika majungu mmoja alivyosema.
View attachment 134558View attachment 134559Maandamano kuelekea kwenye mkutano.