kamanda wa kamanda
Senior Member
- Oct 12, 2013
- 191
- 75
Hivi ni Viwanja vya Docta Slaaa jijini mbeya ambapo leo Maandamano yataanzia Mafyati T.i.a kuja viwanja hivi maandamano yataongozwa na katibu mkuu Docta Slaa Msigwa Sugu Mzee wa upako na makamanda wengine wengi
---------------------
---------------------