PICHA: Mkutano wa CHADEMA Arusha jana kabla ya mlipuko!

PICHA: Mkutano wa CHADEMA Arusha jana kabla ya mlipuko!

Tangopori

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2012
Posts
1,628
Reaction score
1,289
umati uliojitokeza

1002429_615014695189887_793132095_n.jpg
 

Attachments

  • CHADEMA.jpg
    CHADEMA.jpg
    74.1 KB · Views: 760
cc
m walipatwa na hasira!
Wakaamua kuua wananchi wasio na hatia
 
hakika ndo maana ccm walipata hasira lakini bado CHADEMA itashinda hata wangeahirisha mara mia moja
Rest in peace ndugu zetu wasioluwa na hatia. siasa cahfu za kina mwigulu! ccm kama watu wamewachoka si mkubali tu na kama hamtakubali tutawaonyesha tarehe 30, na dozi nyingine mwaka 2015!
 
CCM watateseka sana wakijaribu kuzuia vuguvugu la mabadiliko.
 
Sasa kama ccm walikuwa na kikao cha ukoo na wake zao Cuf walikuwa na kikao cha familia kwanini wasionee Chadema gere ambao wakukuwa na mkutano na wana wa A town?
 
Hii mikutano ya aina hii nilikuwa na iona kule Uhuru Park Nairobi wakati wa Kampeni za Uraisi, CCM nzima hakuna anaye weza kuitisha mkutano na akapata mwitikio wa aina hii, labda wakodishe mabasi yote hadi Tren na ndege zote Tanzania
 
mungu wangu weeeeeeeee!hilo tu ndo naweza sema.cdm nouma.
 
naona maono...naona mende akiwa marehemu!! kalalia mgongo ndani ya bakuri la mchuzi wa 2015!!
 
Ha ha haa ahaaaa..! Tupo millioni 50 kwa hiyo wataua wangapi ili washinde? Akili ndogo haizidi akili kubwa..! Hahaa, haaa..! MWIGULU NCHEMBA NA AKILI ZA MBWA KACHOKA. RIP MASHUJAA
 
Ehèeê kweli nimeamimi cdm mziki mzito ssm walikuwa na watu kweli ebu wa arusha naomben mnijibu kwa hali hii nchi ianaenda cdm 2015
 
Hata wafe 200 ushindi wa kata zote nne mikonon mwa chadema... Mungu ibariki Tz ibarki Afrika amen...
Hatma ya cha cha mapepo CCm imefika
 
umati uliojitokeza

1002429_615014695189887_793132095_n.jpg
tena ngoja ni waambie uhu ni upande 1 pande zota 4 nyomi ilikua ivyo ivyo mpaka mianzini nyomi imetapakaa,unafikiri ccm walipenda nao wanapenda ila hawana watu ndugu ihi ndio chadema bwana mikoa mingine ijifunze kuamka kama atown,
 
ccm kaeni chini mtafakali mbinu nyingine yakurudisha wanachama hawa kwenu,ila kwa kudhuru daima mnauzidishia umma chuki na hasira juu yenu na hata hyo tarehe 30 mnaweza msipate kitu,kwa uchaguzi wa leo sehemu zingine nina hakika mtafanikiwa sana sababu mmeshafanikiwa kuwazofisha wapinzani wenu,hongerani
 
Yaaaani...!Hata hivyo waliopiga picha pande zote tuwekeeni tendelee kupata faraja na kuwaombea ndugu zetu ambao nchi imeona kufa kwa magonjwa yanayotibika, kufa kwa lishe duni, kufa kwa ajali za barabarani, kufa kwa kukosa elimu bora hakutoshi hadi mabomu yatumike!
 
Back
Top Bottom