FRANC THE GREAT
JF-Expert Member
- May 27, 2016
- 5,416
- 7,828
Elezea au toa ufafanuzi yakinifu!Ukisikia kutiana genye sasa ndio Huku
Iko Simple!
Maisha ni nyumba.A blessed home... Majengo Muruwa...Basi miundobinu (sewage system na umeme) imara iwepo!!
Hiyo nayo nzuri! Picha zake nyingine hizi hapa;Mimi nimependa upekee wa hii ..but material yabadilishweView attachment 1149931
Yeah kumbe ni kali kiasi hicho? ??Hiyo nayo nzuri! Picha zake nyingine hizi hapa;
View attachment 1149936
View attachment 1149937
View attachment 1149942
Yeah! Ni Design ya kipekee!Yeah kumbe ni kali kiasi hicho? ??
Nimeipenda sana. ..Ngoja tuongeze mbinu za utafutaji mkuuYeah! Ni Design ya kipekee!
Sawa mkuu.Nimeipenda sana. ..Ngoja tuongeze mbinu za utafutaji mkuu
Naam! Kuuboresha huo utamaduni pia ni jambo jema.Unajua mitindo ya majengo ni utamaduni, tujivunie utamaduni wetu
Shukran kwa ushauri.Nadhani uzi ungekuwa na tija kila kama mmoja ange-share mandhari ya nyumba anayoishi sasa au anayotamani kuimiliki ili kuwatia watu wivu wa maendeleo sasa nyie wakuu mnaweka picha za nyumba za Mengi na Manji wangapi tunaziweza?
You're Welcome!Wooow beautiful.,inspiring