FRANC THE GREAT
JF-Expert Member
- May 27, 2016
- 5,336
- 7,705
Wazima wote!
Kumekuwa na madai kuwa, 'Ubora' wa maisha unaendana pia na nyumba unayoishi na si chakula tu unachokula ama mavazi unayovaa. Tizama bunifu hizi za majengo haya ya makazi ya binadamu kisha useme mwenyewe kama ni kweli ama la.
Unakaribishwa pia nawe kuweka picha za mitindo mbalimbali ya majengo ya kisasa!
Picha: Kutoka vyanzo mbalimbali
Kumekuwa na madai kuwa, 'Ubora' wa maisha unaendana pia na nyumba unayoishi na si chakula tu unachokula ama mavazi unayovaa. Tizama bunifu hizi za majengo haya ya makazi ya binadamu kisha useme mwenyewe kama ni kweli ama la.
Unakaribishwa pia nawe kuweka picha za mitindo mbalimbali ya majengo ya kisasa!
Picha: Kutoka vyanzo mbalimbali