Picha: Miji ya Luanda nchini Angola

Picha: Miji ya Luanda nchini Angola

ridculouz

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2014
Posts
910
Reaction score
504
HIZI NI BAADHI YA PICHA ZA JIJI LA LUANDA NCHINI ANGOLA, NGOJA TUONE JINSI GANI WALIVOPIGA HATUA KUMBUKA HAWA ANGOLA NI MIONGONI MWA NCHI ZINAZOTOA MAFUTA KWA WINGI DUNIANI.


MLjbudc.jpg


0iZU3P4.jpg


YZshbKI.jpg


wVURAkI.jpg


4yFP3CF.jpg


2XoxuB5.jpg


qltG0Wv.jpg


l52NfTJ.jpg


elHwwwU.jpg
 
Tanzania sisi miundombinu yetu tulishaiharibu toka enzi za kale sasa hivi hatuwezi kuwa na sehemu kama hizo hata iweje.Labda tuweke Dozer toka Kimara mpk Ferry then tuanze fresh.
 
ImageUploadedByJamiiForums1424429547.601854.jpg hii sijui n bus stop sijaona wale wauza pweza au wale wamachinga wapa ga vitu chini kwenye stend ina maana hawa jamaa hata yale maji ya azam au kiloba hapo stend hayauzwi au juice ya miwa uwiiii huko sitaweza kuish bora hapa shamban kwa bibi
 
Picha ya tatu hapo ni jirani na Airport, pazuri sana, ila siku ya kwanza nilibabaika sana sababu magari yanaendeshwa right hand, full kujichanganya.
 
Tanzania sisi miundombinu yetu tulishaiharibu toka enzi za kale sasa hivi hatuwezi kuwa na sehemu kama hizo hata iweje.Labda tuweke Dozer toka Kimara mpk Ferry then tuanze fresh.

ngudu yangu kw mji kama Dar huenda ikatugharim sana lakini kuna miji inayokua kwa kasi kama Mwanza,Arusha,Mbeya na Dodoma serikali ikiamua kuipangilia hii miji mapema tunaweza kuwa mara mbili ya jiji la luanda
 
Back
Top Bottom