Kesho Uanzia Leo
Member
- Apr 2, 2012
- 23
- 8
View attachment 62669izi ni moja ya mbinu za ccm kuzuia m4c ya chadema, hapa ni wakiwa wamechimba barabara ili msafara wa chadema -m4c usiingie kijiji cha namgezi kata ya keya ulanga mashariki...kwa fikra izi je ccm imefilisika kifikra!!!
sasa kwani hii kero itakuwa kwa CDM tu au mpaka wananchi wa eneo husika? na hizo gharama watakazotumia hawaoni ni mzigo kwa masikini wa kitanzania?
Hii sio dawa!