Hii sio dawa!
Mkuu Mwita mimi sishsngai kwani huwa wanawagawia hadi chakula, nguo, Pesa na Sukari wakati wa Uchaguzi. Kwa mapungufu waliyonayo watanzania ni vigumu kukataa lakini swali katika hiyo picha mwenye matatizo ni Nape au hao Raia???
Kwangu mimi kama Nape ameona waTZ wanahitaji kanga, Tishet na Kofia ile hali hakuna wanafunzi hawana madawati, waalimu si wakutosha na madawa hakuna hospitali then mimi naona ni sawa tu kwa hao wananchi kuchukua.
Mbona sijawahi kuona CCM ikitoa Madawa, Kujenga Dispensary etc???
Hii sio dawa!
Hizi ni moja ya mbinu za ccm kuzuia m4c ya chadema, hapa ni wakiwa wamechimba barabara ili msafara wa chadema -m4c usiingie kijiji cha namgezi kata ya keya ulanga mashariki...kwa fikra izi je ccm imefilisika kifikra!!!
Mkuu Stein, tatizo ni Watanzania!, hizi ni delaying tactics tuu, wanaweza kuchelewesha ila hawawezi kuzuia, leave CCM alone, reach out the masses!. Ukiona hali imefika hivi for "the going gets tough", ujue "the tough gets going!"- Bill Ocean. For sure CCM inatakiwa kuondolewa sio na Chadema, bali na watu!.Mleteni PASCO kwenye huu UZI, then atuambie tatizo ni watanzania, inawezekana CCM wamekodi wahuni waje wachimbe hiyo bara bara.
Tatizo ni CCM lingekuwa hata mtu mmoja, basi ingekuwa rahisi we angalia mambo yanayofanywa. Hivi ingekuwa msafara wa JK si Polisi wangefukia mara moja
Mleteni PASCO kwenye huu UZI, then atuambie tatizo ni watanzania, inawezekana CCM wamekodi wahuni waje wachimbe hiyo bara bara.
Tatizo ni CCM lingekuwa hata mtu mmoja, basi ingekuwa rahisi we angalia mambo yanayofanywa. Hivi ingekuwa msafara wa JK si Polisi wangefukia mara moja