hivi kwny suala kama hili c mwenyekiti wa chama ndo anaagiza,na mwenyekiti ndo anatuongoza,daaaaaaah we are at the middle of the jungle in front of black jaguar,what next.... lets check.
tena watu wote tuungane tuwaondoe kwa nguvu na hasira zote maana inavyoonekana hawa wapo tayari hata kuua kulinda madaraka yao tuamke mapema kabla hatujazamishwa kabisa.Mkuu Stein, tatizo ni Watanzania!, hizi ni delaying tactics tuu, wanaweza kuchelewesha ila hawawezi kuzuia, leave CCM alone, reach out the masses!. Ukiona hali imefika hivi for "the going gets tough", ujue "the tough gets going!"- Bill Ocean. For sure CCM inatakiwa kuondolewa sio na Chadema, bali na watu!.
Mkuu Stein, tatizo ni Watanzania!, hizi ni delaying tactics tuu, wanaweza kuchelewesha ila hawawezi kuzuia, leave CCM alone, reach out the masses!. Ukiona hali imefika hivi for "the going gets tough", ujue "the tough gets going!"- Bill Ocean. For sure CCM inatakiwa kuondolewa sio na Chadema, bali na watu!.
Mkuu Stein, CCM ni tawi tuu la mmea uliochipukia, ukitaka kuuua rasmi sio kulikata tawi, kata shina na kung'oa mizizi yake. Tegemeo la CCM ni wapiga kura!, achana na hili li dude CCM, target hao wapiga kura wanaoiweka CCM hapo ilipo!.Mkuu Pasco,
Mimi sikubaliani na wewe jambo moja, unajua binafsi naamini tatizo ni CCM kwa maana ya maamuzi ya vikao vya CCM maana wakitoka mle wanasema Chama kimeamua hivi...
Vile vile nasema CCM wana matatizo kwa maana ya Mfumo wao pamoja na Serikali, haiwezi kuingia akilini kama tunafika mahali leo hii Ndege la Jeshi la Nchi fulani linatua TZ na kuchukua wanyama zaidi ya 130 kwa wakati mmoja alafu ukasema tatizo ni Mkurugenzi mmoja tu wa wanyamapori... Hapa lazima kuna tatizo.
liwalo na liwe!.
hizi ni moja ya mbinu za ccm kuzuia m4c ya chadema, hapa ni wakiwa wamechimba barabara ili msafara wa chadema -m4c usiingie kijiji cha namgezi kata ya keya ulanga mashariki...kwa fikra izi je ccm imefilisika kifikra!!!
Mkuu Stein, CCM ni tawi tuu la mmea uliochipukia, ukitaka kuuua rasmi sio kulikata tawi, kata shina na kung'oa mizizi yake. Tegemeo la CCM ni wapiga kura!, achana na hili li dude CCM, target hao wapiga kura wanaoiweka CCM hapo ilipo!.
Pasco.
Hii sio dawa!
Utawajua tu makarani wa sensa! Back to the topic>hapo magamba lazima watakwambia tunaweka X-culvert isiyokuwa na outlet!magamba wajinga kweli,CDM ni DODOSO REFU huu ni moto wa kuotea mbali mtakoma ni mwendo wa maswali 67 hahaa haaa