Masamila
JF-Expert Member
- Jun 22, 2014
- 6,411
- 7,306
Bia yetu ametumwa kuongeza nguvu kikosi cha kina Etwege na Rutashobolwa
Ni takataka..Viongozi wetu wengi ni comedians, Bangladesh kabisa
Sawa mkuu nikajua naye ni "BRANDI AMBASADA"Sasa hapo katangaza nn si nguo tu hizo za kushindia kavaa.
Kama ulikuwa hujui watu wenye pesa nguo za kushindia ni za brand tofauti tofauti kama vile Pepsi,coca,ndovu,Kilimanjaro yaan zile T-shirt za makampuni flan hivi