idawa
JF-Expert Member
- Jan 20, 2012
- 25,284
- 38,312
Hizi ni baadhi ya picha za viongozi wetu wa awamu ya tano wakijifukiza.
Waziri wa TAMISEMI Seleman Jaffo akijiandaa kupiga Nyungu
Mbunge Msukuma kwenye ubora wake.
Mkuu wa Wilaya ya Kilolo akiwa hoi kwa kujifukiza.
Mbunge Gekule akiwa kwenye harakati za kujifukiza.
Waziri wa TAMISEMI Seleman Jaffo akijiandaa kupiga Nyungu
Mbunge Msukuma kwenye ubora wake.
Mkuu wa Wilaya ya Kilolo akiwa hoi kwa kujifukiza.
Mbunge Gekule akiwa kwenye harakati za kujifukiza.