Sendoro Mbazi
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 3,556
- 2,331
Unashindwa kuelewa jambo dogo sana sifa ya Mkoa ni relative maana yake ni kwamba inategemea wewe kigezo chako ni kipi kama ni nje ya Tanzania basi uko sawa ni kawaida lkn kama ni ndani ya Tanzania siyo kweli kwamba MZ City, AR City na kwingineko ni pa kawada kwani kwa mtu anayetoka Tunduru au sijui Same sehemu kama MZ City au Arusha City hapawezi kuwa pa kawadia kwake!
Same usiilinganishe na miji midogo kama Tunduru, teh