Picha mbalimbali za Mkoa wa Mwanza

Picha mbalimbali za Mkoa wa Mwanza

Unashindwa kuelewa jambo dogo sana sifa ya Mkoa ni relative maana yake ni kwamba inategemea wewe kigezo chako ni kipi kama ni nje ya Tanzania basi uko sawa ni kawaida lkn kama ni ndani ya Tanzania siyo kweli kwamba MZ City, AR City na kwingineko ni pa kawada kwani kwa mtu anayetoka Tunduru au sijui Same sehemu kama MZ City au Arusha City hapawezi kuwa pa kawadia kwake!

Same usiilinganishe na miji midogo kama Tunduru, teh
 
Rock city
IMG-20170210-WA0018.jpg
dad 3 20170111_224852.jpg
 
Kwa walioko mwanza wanielekeze sehemu ambapo naweza patackazi yoyote ile isiyozingatia elimu
 
Back
Top Bottom