Picha mbalimbali za Mkoa wa Mwanza

Picha mbalimbali za Mkoa wa Mwanza

Mkuu umelazimishwa kukomenti au shobo tu??

Unajua mkuu hii ID yako haielezi jinsia, na umeweka avatar ya kike.

Maneno uliyotumia kwenye heading "On fleek" ni ya kike pia.

Jaribu kuwa na identity ya kiume kama kweli hutaki maswali ya namna hiyo.
 
[HASHTAG]#Charmie[/HASHTAG] uko wapi, mie nipo mkuyuni
 
Ndio kulikuwa na mpango wa kujenga kama hiyo Mwanza Airport nadhani ujenzi unaendelea...
Aisee...yaani Mwanza wajenge airport kama ya Dar kwa ndege gani zinazotua Mwanza? Mleta mada kachemka tu kaleta picha sio.
 
Chezea mwanza weye ila umependelea sana maeneo ya barabara ya airport weka na za pande ya uku kwetu....
 
Aisee...yaani Mwanza wajenge airport kama ya Dar kwa ndege gani zinazotua Mwanza? Mleta mada kachemka tu kaleta picha sio.
Hapana hajachemka amini nakwambia ile Airport inafanywa ya kimataifa inakuwa international na hiyo ilikuwa toka zamani ujenzi umeanza sema ulikuwa unasua sua...

Kuna sehemu nilisoma ile ramani ya terminal III ni kama hiyo ya Aiport inayojengwa hapo Mwanza...

Kulikuwa kuna route za Rwandan Air, sijajua kwa sasa, baadae ndege zitaanza kutua, lakini hata hivyo ukiangalia mashirika mengi ya ndege kwa hapa ndani huko ndio route zilipo mfano Fast Jet wana route tatu kwa siku toka Dar es salaa, vivyo hivyo hao wengine...
 
Mkuu wa chuo honestly kweli Mwanza wajenge airport kama terminal three ambayo ni maalum kwa international flights? Hapa tunazungumzia klm,swissair,turkish,emirates halafu wajenge same thing Mwanza kwa ajili ya PW,ATC,FJ? Mwanza wanatanua airport yao ila its nowhere near terminal three, hebu tuwekeeni picha ya hio new Mwanza airport acheni hio ya terminal III. Wekeni ya Mwanza tulinganishe,hio mlioweka ni ya jknia.
 
m
Majibu unayo wewe
Mkuu, usikasirike ni hoja tu kwa sabb tunaona mandhari za kimji mji zaidi but logically jiji liko mwanza na mwanza haiko kwenye jiji so kusema Mwanza sio kosa!
 
Mikoa mingi yenye sifa kama arusha,mwanzA na mbeya ni pa kawaida sana
Usiongee Mbeya aisee, kule kuna round about moja tu iliyochoka choka na ushirikina wa wakinga kwa wingi. Hovyo kabisa
 
Back
Top Bottom