Alphonce Mawazo
R I P
- Sep 10, 2013
- 335
- 478
Wakati wenzetu wakijichana na kustarehe,sisi tuliibadilisha pasaka kuwa siku ya kuwatetea wanyonge wa taifa hili kwa kuchapa neno jimbo la Mbogwe(OPERATION TIGI TIGI) with no apology
Asante sana Kamanda ndio maana tunasema chadema nimpango wa Mungu. Tumeanza na Mungu tupo na Mungu na tutamaliza na MunguWakati wenzetu wakijichana na kustarehe,sisi tuliibadilisha pasaka kuwa siku ya kuwatetea wanyonge wa taifa hili kwa kuchapa neno jimbo la Mbogwe(OPERATION TIGI TIGI) with no apology
Sioni jipya hapa
Sioni jipya hapa
kwako mawazo Mungu akulinde na kuzidi kukutia nguvu kwa kazi nzuri unayoifanya ya kuleta ukombozi wa mara ya mbili kwa nchi yetu iliyopotea vizazi vitakukumbuka kuwa ni kati ya watu waliosimama na kulitetea dhidi ya mikono ya mafisadi na manyangau walioitia nchi umaskini wa kutisha. Asante sana kaka
kila la heri
Asante sana Kamanda ndio maana tunasema chadema nimpango wa Mungu. Tumeanza na Mungu tupo na Mungu na tutamaliza na Mungu
mbona sion chopa?
God bless you, nice job
Sioni jipya hapa