Picha: Mavuno ya CHADEMA siku ya Pasaka

Picha: Mavuno ya CHADEMA siku ya Pasaka

Joined
Sep 10, 2013
Posts
335
Reaction score
478
Wakati wenzetu wakijichana na kustarehe,sisi tuliibadilisha pasaka kuwa siku ya kuwatetea wanyonge wa taifa hili kwa kuchapa neno jimbo la Mbogwe(OPERATION TIGI TIGI) with no apology

attachment.php


attachment.php
 

Attachments

  • 1428289920607.jpg
    1428289920607.jpg
    80.1 KB · Views: 7,714
  • 1428289975462.jpg
    1428289975462.jpg
    88.7 KB · Views: 7,247
  • 1428290075602.jpg
    1428290075602.jpg
    87.5 KB · Views: 3,715
kwako mawazo Mungu akulinde na kuzidi kukutia nguvu kwa kazi nzuri unayoifanya ya kuleta ukombozi wa mara ya mbili kwa nchi yetu iliyopotea vizazi vitakukumbuka kuwa ni kati ya watu waliosimama na kulitetea dhidi ya mikono ya mafisadi na manyangau walioitia nchi umaskini wa kutisha. Asante sana kaka
 
Wakati wenzetu wakijichana na kustarehe,sisi tuliibadilisha pasaka kuwa siku ya kuwatetea wanyonge wa taifa hili kwa kuchapa neno jimbo la Mbogwe(OPERATION TIGI TIGI) with no apology
Asante sana Kamanda ndio maana tunasema chadema nimpango wa Mungu. Tumeanza na Mungu tupo na Mungu na tutamaliza na Mungu
 
kwako mawazo Mungu akulinde na kuzidi kukutia nguvu kwa kazi nzuri unayoifanya ya kuleta ukombozi wa mara ya mbili kwa nchi yetu iliyopotea vizazi vitakukumbuka kuwa ni kati ya watu waliosimama na kulitetea dhidi ya mikono ya mafisadi na manyangau walioitia nchi umaskini wa kutisha. Asante sana kaka

Amina politiki
 
Mawazo hotuba zako nazikubali sana ila kuna kitu kimoja unakisahau mhimu sana kwa dunia ya sasa; WEKA HOTUBA ZAKO YOUTUBE.
 
Pongezi kwako kamanda Mawazo hizo ndizo harakati za ukombozi wa kweli.
 
Back
Top Bottom