atazungumzwa rasmi tarehe 2 november 2015 atakavyo apishwa rasmi kuwa rais wa awamu ya tano hivyo nyie wazururaji a.k.a panya road endeleeni tu kuneng'eneka na kujidanganya.
POPOMA hakuna cha "no comment",uta comment tu hapa.
nitahakikisha "nakuchonoa" mpaka upandishe jazba ili uanze yale matusi yako halafu upigwe ban.:biggrin1::biggrin1:
CC Mussolin5nifah
POPOMA hakuna cha "no comment",uta comment tu hapa.
nitahakikisha "nakuchonoa" mpaka upandishe jazba ili uanze yale matusi yako halafu upigwe ban.:biggrin1::biggrin1:
CC Mussolin5nifah
nashukuru kwa kuwarahisishia kazi @moderators na @invisible kwa hiki ulichokiandika. nakutakia kila la kheri katika hiyo agenda yako isiyoweza kufua dafu kwani waswahili husema ukimjua jina mbwa hakupi shida.
round hii kawa mpole kama maji ya mtungini,mpaka anatia huruma.tusubiri makeke yake baada ya adhabu yake kuisha kupitia ile account yake anayoitegemea.:biggrin1:
Wananchi shown much love to our beloved CCM lakini kwa hali hii Mungu amekipenda sana chama "Bwana has given & also has taken His almighty name be blessed"
ningeshangaa huyu mama wa kichaga asingeipenda chadema / ukawa kwani ndiyo chama chao wa kaskazini ila siyo chama cha watanzania wote kwani watanzania 90% ni ccm tu pekee.