Kama mishahara na malimbikizi ya madai kwa waalimu yanawasumbua kulipa, je mtaweza kuwapatia Laptop kila mmoja wao?. Wamekuwa ni watoto wa kudanganywa kwa kuwapelekea pipi ya kijiti wakati wakisikia njaa?.
Innovation & Creative thinking imewapita kushoto nyie, mmewafanya waalimu kuwa dampo lenu la kila chaguzi, ngoja mtakiona mwaka huu!