Picha: Mamia ya jeshi la Israel latekwa

Picha: Mamia ya jeshi la Israel latekwa

Ujinga wako unadhani Israel kufika Gaza ndio kashinda si umesema vita vinapiganiwa Gaza.

Hamasi haihtajii msada wa mtu wako fit kabisa bora we ukawasaidie mashogo zako huko wanasaidiwa na America, uingereza, Faransa, Ujeruman, Australia, Canada, Ukraine, United Arab Emirates, Italy na bado Gaza haifiki hata km 35 wameishindwa 😄
Naona wewe ndio mjinga.....kama sentensi ndogo tu.....Vita ipo GAZA....imeleta makasiriko yote hayo.😛
 
Naona wewe ndio mjinga.....kama sentensi ndogo tu.....Vita ipo GAZA....imeleta makasiriko yote hayo.😛
😄 Mimi nikasirike sababu ya kukasirika ipi na Israel hi mara ndio itakuwa mwisho wake kugusa Gaza.

Yani hata America si ajabu akamkimbia sababu walimtegemea ndio atakaye kuwa anatisha warabu sa kisha geuzwa kama changu

Hamasi ni moto wa kuotea mbali, mpaa Netanyahu hatoki yeye na mkewe Sara na mawaziri zake nje wako ndani tu 😄
 
😄 Mimi nikasirike sababu ya kukasirika ipi na Israel hi mara ndio itakuwa mwisho wake kugusa Gaza.

Yani hata America si ajabu akamkimbia sababu walimtegemea ndio atakaye kuwa anatisha warabu sa kisha geuzwa kama changu

Hamasi ni moto wa kuotea mbali, mpaa Netanyahu hatoki yeye na mkewe Sara na mawaziri zake nje wako ndani tu 😄
Kalagabao....😀
 
Back
Top Bottom