Adiosamigo
JF-Expert Member
- Oct 2, 2013
- 10,838
- 14,478
Kwani kupiganiwa Gaza ndio kashinda, mbonavAmerica alingia Afghanstan na Vietnam alikimbia 😄Vita inapiganiwa GAZA.........
Kwani kupiganiwa Gaza ndio kashinda, mbonavAmerica alingia Afghanstan na Vietnam alikimbia 😄Vita inapiganiwa GAZA.........
Wayahudi si wamepeleka marobot kule ghazaVita inapiganiwa GAZA.........
Wavaa kubaz mna hali mbayaJamaa wanatia huruma, wanajuta kuingia Gaza
Wapi nimeadika kushinda?Kwani kupiganiwa Gaza ndio kashinda, mbonavAmerica alingia Afghanstan na Vietnam alikimbia 😄
Punguza Jazba MkuuTumia akili na sio kuropoka kama Mjane,watu wanawalaumu hao mabwana zako kwa kuua wanawake na watoto.
JanaImetokea lini?
Ni Hamas, ingawa hutoweza kukubaliHao sio Hamas,wamekamata raia waliokua wamewekwa kwenye eneo lenye usalama,wamekamata mpaka waandishi wa habari na kuwavua mashati ila hiyo haizuwii kichapo toka kwa Hamas.
Ni hamas Tena wameanza kujisalimisha baada ya Israel kuanza kupump maji ya bahari kwenye mahandaki.Hao sio Hamas,wamekamata raia waliokua wamewekwa kwenye eneo lenye usalama,wamekamata mpaka waandishi wa habari na kuwavua mashati ila hiyo haizuwii kichapo toka kwa Hamas.
Vyombo vya habari vimetangaza hao ni raia wa ramallah hakuna hamas hapo kijana wewe.Ni Hamas, ingawa hutoweza kukubali
Unaijua Ramallah ilipo??Ni hamas Tena wameanza kujisalimisha baada ya Israel kuanza kupump maji ya bahari kwenye mahandaki.
Kuna eneo lolote Gaza lisilo na hamas?Vyombo vya habari vimetangaza hao ni raia wa ramallah hakuna hamas hapo kijana wewe.
Hamas ramallah afate nn?
Unathibitisha vipi hao siyo Hamas?Vyombo vya habari vimetangaza hao ni raia wa ramallah hakuna hamas hapo kijana wewe.
Hamas ramallah afate nn?
Ujinga wako unadhani vita kuingia ndio umeshinda, hata kama hujasema kuna wengine huo ndio mtego wao kuwamaliza madui waingie kwenye mitego kama anavyo malizwa Israel huko Gaza.Wapi nimeadika kushinda?
Ramallah IPO west bank haiko Gaza.Kuna eneo lolote Gaza lisilo na hamas?
Ujinga wako unadhani vita kuingia ndio umeshinda, hata kama hujasema kuna wengine huo ndio mtego wao kuwamaliza madui waingie kwenye mitego kama anavyo malizwa Israel huko Gaza.
Israel wao kazi zao kurusha moboom kwa silaha za kupewa bure na America ndio wanacho kijua zaidi ya hapo hamna kitu.
Yemen karipua base yake hapo Eritrea na nina uhakika kabisa Israel hawezi rudisha kipigo cha Yemen, anawafahumu wapiga Mirungi ndege zake watazitungua na wana Mig 29 ambazo zinaweza kushambulia Israel bila kuangushwa.
View: https://youtu.be/kPyutdUVnLw?si=4O6K-3Y3jHe2iDeZ
Wale magaidi wa israhell itakua washaokolewa tayarNi hamas Tena wameanza kujisalimisha baada ya Israel kuanza kupump maji ya bahari kwenye mahandaki.
Ujinga wako unadhani Israel kufika Gaza ndio kashinda si umesema vita vinapiganiwa Gaza.Sasa ujinga wangu ni nini?......Unaonekana una makasiriko sana. Nenda GAZA ......kule ndio kuna vita.
Tumbaf kabisa huyu pimbi. Yupo hapo jaribu mpakani anapiga story na bodaboda wenzie. Huku Wana tusubiri abiria tunaenda nyamisati.Hii mifano ya watoto wa darasa la pili nenda kawaulize wenzako huko kwenye kijiwe chenu cha Bodaboda.
God Bless Israel
🇮🇱 I🇮🇱 🇮🇱