Picha: Mamia ya jeshi la Israel latekwa

Picha: Mamia ya jeshi la Israel latekwa

Haya maneno ulitakiwa uwape waisrael wenzako kua kwanini hawawezi kupigana na Hamas bila msaada wa jeshi la USA na mataifa ya Europe? Kwanini wasingeingia Gaza peke yao?

Kingine waulize hao wayahudi wenzako,kwanini wasiwaokoe hao mateka wao na wanajeshi wao waliotekwa?
Tulieni magaidi,mpigwe sawa sawa regardless wanasaidiwa ama la..na nyie HAMAS tafuteni msaada.
 
Dunia nzima inawacheka Israel kutafuta ushindi wa uwongo hata US kwa mara ya kwanza wananza kugombana wasipeleka msaada wa mashoga zao Israel, karibu US atamkimbia Muisrael hali imekuwa mbaya upande wake anapokea vipigo kutoka Iraq, Syria, Yemen na bado ataona jua linatokea magharibi linazama mashariki 😄

Wale wayahudi weusi wa Tandale hawawezi kujua haya.
 

Attachments

  • Screenshot_20231208-110331_Gallery.jpg
    Screenshot_20231208-110331_Gallery.jpg
    86.3 KB · Views: 6
Ndio hua mnaongopewa hivyo huko mnakoenda kuuziwa maji ya upako?
Sina dini yoyote na wala siamini chochote, kwa sababu najua imani ni biashara za watu; tuongelee uhalisia, ukitaka uwe mtumwa katika hii dunia, jikite kwenye imani; na ndio HAMAS wanachokifanya, ndio maana wanaona bora kufa wakiamini kuna maisha mengine mazuri baada ya kifo, bila kujua ata kitoweo kuku analiwa baada ya kufa.
 
Sina dini yoyote na wala siamini chochote, kwa sababu najua imani ni biashara za watu; tuongelee uhalisia, ukitaka uwe mtumwa katika hii dunia, jikite kwenye imani; na ndio HAMAS wanachokifanya, ndio maana wanaona bora kufa wakiamini kuna maisha mengine mazuri baada ya kifo, bila kujua ata kitoweo kuku analiwa baada ya kufa.
Rubbish.
 
Hii mifano ya watoto wa darasa la pili nenda kawaulize wenzako huko kwenye kijiwe chenu cha Bodaboda.
Hizi mvua zinazoendelea kunyesha, zitumieni kwa kulima nafaka; na si kuishi kwa kutegemea sadaka au hela za wahisani na hatimaye kuwaingiza kwenye mikasa au vita vinavyopoteza uhai, kwa kuwaaminisha kuna maisha mazuri baada ya kifo.
 
Adiosamigo nyie ni wajinga mnavopelekewa moto gaza, endeleeni kujifariji dunia imewapuuza
Israel wacha awafurahisheni kwamba anashinda, ukweli tunauwona kwenye channel za kiarabu anacho ongea Israel na US na Western media hakuna ukweli zaidi ya propoganda tu hata tv channel za Israel zimeanza kusema wanadanganywa 😄
 
Israel wacha awafurahisheni kwamba anashinda, ukweli tunauwona kwenye channel za kiarabu anacho ongea Israel na US na Western media hakuna ukweli zaidi ya propoganda tu hata tv channel za Israel zimeanza kusema wanadanganywa 😄
Vita inapiganiwa GAZA.........
 
Back
Top Bottom