Picha: Mama Lowassa afanya kufuru Iringa Mjini

Picha: Mama Lowassa afanya kufuru Iringa Mjini

Ocampo four

JF Senior Expert Member
Joined
Feb 28, 2014
Posts
5,789
Reaction score
2,159
Mke wa mgombea urais kupitia Umoja wa Ukawa, Mama Regina Lowassa leo amefanya mkutano mkubwa mjini iringa..

Mama Regina alisema ''Naomba nichukue nafasi hii kumuombea kura mgombea urais Mh. Edward Ngoyai Lowassa ambae ni Mume wangu, namuombea kura zote za ndio bila kuwasahau Madiwani na Mbunge''

Mama Regina amewakumbusha wananchi kuwai mapema kwenye vituo vya kupigia kura, kuzingatia sheria za uchaguzi na namna ya kukunja karatasi baada ya kupiga kura na wasisahau kwenda na kalamu zao.
 

Attachments

  • 1444753955193.jpg
    1444753955193.jpg
    75.2 KB · Views: 7,835
  • 1444753975611.jpg
    1444753975611.jpg
    69.7 KB · Views: 6,365
  • 1444753994339.jpg
    1444753994339.jpg
    76.5 KB · Views: 6,653
  • 1444754011459.jpg
    1444754011459.jpg
    78.9 KB · Views: 6,073
  • 1444754032949.jpg
    1444754032949.jpg
    85.1 KB · Views: 6,170
  • 1444754069940.jpg
    1444754069940.jpg
    64.7 KB · Views: 6,090
Mke wa mgombea urais kupitia Umoja wa Ukawa, Mama Regina Lowassa leo amefanya mkutano mkubwa mjini iringa..

Mama Regina alisema ''Naomba nichukue nafasi hii kumuombea kura mgombea urais Mh. Edward Ngoyai Lowassa ambae ni Mume wangu, namuombea kura zote za ndio bila kuwasahau Madiwani na Mbunge''


Mama Regina amewakumbusha wananchi kuwai mapema kwenye vituo vya kupigia kura, kuzingatia sheria za uchaguzi na namna ya kukunja karatasi baada ya kupiga kura na wasisahau kwenda na kalamu zao.

Kamanda ocampo shukrani za dhati
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom