Picha: Magufuli kawang'ang'ania

Picha: Magufuli kawang'ang'ania

JF Member

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2014
Posts
8,204
Reaction score
11,364
Hii Sasa ni sifa,

Haiwezekani mtu kafa afu unawaweka picha ya "Chagua Magufuli". Hapa unaweza ukamwelewa Pascal Mayalla kwamba Magufuli anaenjoy huko aliko.

Hii picha ni pale Oil Com Ubungo - Kijazi Interchange, mtu kaweka kabisa kwenye gari lake na ana amani kabisa. Kuna watu hapa watafura kuona hii picha.

IMG_20220729_162842_240.jpg
 
Unapoiona picha ya Magufuli hiyo ni picha ya Rais Samia kwa upande mwingine. Rais Samia na Hayati ni wamoja na hawatenganishiki wala hawatenganishwi.

Kingine ,Picha ya Chagua Magufuli ndio inayotumika kumumwakilisha mama wa uongozi wa mfano Afrika na duniani kwa ujumla.

Binafsi nasimama na Rais Samia na serikali yake kwenye suala la tozo, ni lazima Serikali ihakikishe inakusanya Kodi kwa wingi. Maendeleo hayaji kwa watu bila maumivu
 
Unapoiona picha ya Magufuli hiyo ni picha ya Rais Samia kwa upande mwingine. Rais Samia na Hayati ni wamoja na hawatenganishiki wala hawatenganishwi.

Kingine ,Picha ya Chagua Magufuli ndio inayotumika kumumwakilisha mama wa uongozi wa mfano Afrika na duniani kwa ujumla.

Binafsi nasimama na Rais Samia na serikali yake kwenye suala la tozo, ni lazima Serikali ihakikishe inakusanya Kodi kwa wingi. Maendeleo hayaji kwa watu bila maumivu
Lazima serikali Ihakikishe inakusanya Kodi Kwa wingi ndio ila Tozo Tunapinga.

Nimeenda Hardware ya Maleko Arusha nikauliza Risiti ya bidhaa nilizonunua, mhudumu akaniambia "unauliza Risiti Kwa Maleko, hapa hatutoi". Nikaamuambia TRA inataka tukinunua tudai Risiti. Nikajibiwa "Maleko ndo TRA mwenyewe hatoi Risiti"

Halafu wanyonge tunaTOZWA na bado mishahara inakatwa KODI.
 
Lazima serikali Ihakikishe inakusanya Kodi Kwa wingi ndio ila Tozo Tunapinga.

Nimeenda Hardware ya Maleko Arusha nikauliza Risiti ya bidhaa nilizonunua, mhudumu akaniambia "unauliza Risiti Kwa Maleko, hapa hatutoi". Nikaamuambia TRA inataka tukinunua tudai Risiti. Nikajibiwa "Maleko ndo TRA mwenyewe hatoi Risiti"

Halafu wanyonge tunaTOZWA na bado mishahara inakatwa KODI.
Duh hapa bado sijaelewa
 
Hii Sasa ni sifa,

Haiwezekani mtu kafa afu unawaweka picha ya Chagua Magufuli. Hapa unaweza ukamwelewa Pascal Mayalla kwamba Magufuli anaenjoy huko aliko.

Hii picha ni pale Oil Com Bungo - Kijazi Interchange Mtu kaweka kabisa kwenye gari lake na ana amani kabisa. Kuna watu hapa watafura kuona hii picha.

View attachment 2337205
chawa waliokubuhu
 
Hii Sasa ni sifa,

Haiwezekani mtu kafa afu unawaweka picha ya Chagua Magufuli. Hapa unaweza ukamwelewa Pascal Mayalla kwamba Magufuli anaenjoy huko aliko.

Hii picha ni pale Oil Com Bungo - Kijazi Interchange Mtu kaweka kabisa kwenye gari lake na ana amani kabisa. Kuna watu hapa watafura kuona hii picha.

View attachment 2337205
Watanzania ni mindless
 
Hii Sasa ni sifa,

Haiwezekani mtu kafa afu unawaweka picha ya Chagua Magufuli. Hapa unaweza ukamwelewa Pascal Mayalla kwamba Magufuli anaenjoy huko aliko.

Hii picha ni pale Oil Com Bungo - Kijazi Interchange Mtu kaweka kabisa kwenye gari lake na ana amani kabisa. Kuna watu hapa watafura kuona hii picha.

View attachment 2337205
Huyo Ni chawa Promax...
 
Hilo mbona liko wazi.

Mioyoni wanakiri ila hadharani wanaponda.

Je. Viongozi wetu nao wanahitaji kuwa na viongozi??
Aisee . Juzi nilikuwa pale mitaa ya shauri moyo.. vijana wamechoka sana na yanayo endelea.

Ujenzi wa miundombinu umekuwa mbovu sana.

Mfano daraja la Keko pale. Ni Bomu lile..
 
Hii Sasa ni sifa,

Haiwezekani mtu kafa afu unawaweka picha ya "Chagua Magufuli". Hapa unaweza ukamwelewa Pascal Mayalla kwamba Magufuli anaenjoy huko aliko.

Hii picha ni pale Oil Com Ubungo - Kijazi Interchange, mtu kaweka kabisa kwenye gari lake na ana amani kabisa. Kuna watu hapa watafura kuona hii picha.

View attachment 2337205

Ujinga mwingine bana, unapiga picha gari lako kisha unakuja kuweka post hapa jf! Kwani hata ukivaa t-shirt ya Iddy Amini nani atakuwa na shida na ww?
 
Hivi ni Kwa nini walitekwa na wengine kama wewe hawakutekwa.? Ilikuweje?
Kwani Hitler pamoja na udictator wake aliua watu wote duniani? Kwakuwa hakuuwa watu wote, tuseme alikuwa mzuri maana aliua wengine na wengine hakuwaua?
 
Aisee . Juzi nilikuwa pale mitaa ya shauri moyo.. vijana wamechoka sana na yanayo endelea.

Ujenzi wa miundombinu umekuwa mbovu sana.

Mfano daraja la Keko pale. Ni Bomu lile..

Kwani vijana walikula hiyo miundombinu kipindi cha dhalimu?
 
Back
Top Bottom