Huu uzi utakuwa mahususi kwa ajili ya picha za maajabu za kumhusu mgombea urais wa UKAWA aka The Don EDO simaanishi konga. maana konga kwake ni kawaida sana .
(THE MAGIC OF LOWASA )
Kama na wewe utapata picha za kushangaza kuhusu huyu mtu tupia hapa hapa.
Kweli Ni majabu. Ccm watakuwa wapinzani bora baada ya october 25
Lkn tukumbuke jambo moja kuhudhuria kwenye mikutano ya kampeni sio siri, lkn kipiga kura ni siri!