Ama kweli desparate times calls for desparate measures! Jamaa amechanganyikiwa hadi anaomba kura kwa watoto wadogo..huyu akiendelea hivi huwezi kushangaa anaomba hadi wanyama wampigie kura ya ndiyo
wewe acha mm siku nilipoongea nae kwenye sim kwa mara ya kwanza ilikuwa 2013 yaani nilifurahi sana anaongea vizuri. Kesho nakamata fursa lazima nimshike mkono. Leo jion ntamtext
Alienda tena kuomba kura kwa warutheli nini? huyo mzee asituletee udini hapa tanzania ni moja, na watanzania ni wamoja pia. udini, ukabila, ukanda kamwe tusiupe nafasi
Ama kweli desparate times calls for desparate measures! Jamaa amechanganyikiwa hadi anaomba kura kwa watoto wadogo..huyu akiendelea hivi huwezi kushangaa anaomba hadi wanyama wampigie kura ya ndiyo
Hakuna kitu cc wanachochukia kama maombi,ingekuwa ameenda kwa waganga wala wasingemsema.Watu wanataka kufanya wenzao wapagani kwa kigezo cha dini na ndio wimbo wao majukwaani ili Mungu asiingilie dili zao.
Bora huyu anaenda kweupe kwenye nyumba za ibada kuliko Makomeo karithi ugagula wa mkwere na nasikia pesa za Libya zinaleta magagula tu wa kimataifa chini ya uratibu wa Maembe wa NafNaf beach hotels!!!