Picha: Lowassa akiwa Kigoma

Abdul Mohammed

JF-Expert Member
Joined
May 26, 2013
Posts
1,331
Reaction score
860
[h=2]LOWASSA ATUA NGURUKA NA KUMNADI KAFULILA, POLISI YAONYESHA WELEDI KATIKA KAZI[/h]




Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitiaCHADEMA, akiwakiliosha vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi, UKAWA, Mh. Edward Lowassa, akipokea saluti kutoka kwa Askari Polisi, wakati alipowasili kwa Helkopta, kwenye Uwanja mdogo wa ndege Nguruka Kati, Jimbo la Kigoma Kusini, kulikofanyika Mkutano wa Kampeni za Mgombea huyo, leo Septemba 4, 2015 ambapo pia alitumia fursa hiyo, kumnadi mgombea wa jimbo hilo kupitia NCCR-Mageuzi, akiwakilisha UKAWA, Mh. David Kafulila


Mh. Lowassa, akisalimiaana na mamia ya wakazi wa mji wa Nguruka waliohudhuria mkutano wake wa kampeni





Wananchi wakionyesha alama inayotumiwa na UKAWA hivi sa sa ya "Mabadiliko" wakati wa mkutano wa kampeni uliohutubiwa na Mgombea wake Mh. Edward Lowassa, na Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe huko Nguruka



Kijana akiwa na bango lenye ujumbe. (Picha zote na Othman Michuzi)
Source: LOWASSA ATUA NGURUKA NA KUMNADI KAFULILA, POLISI YAONYESHA WELEDI KATIKA KAZI ~ K-VIS
 
T wenzetu uuuuu uu ukawaaaaaa
 
Huyo askari alijisahau tunamsamehe huwezi kumfanyia mtu kamahuyo heshima kiivyo!! TEAM WAZALENDO
 
Lowasa naahidi kukutafutia kura 100, tayari nshatafuta kura 10 za ccm na kuzileta kwako
 
Wameenda kushangaa chopa. Baada ya aibu aliyopata kule Katavi, hatimaye Lowasa katumia mbinu iliyompa umaarufu Dr Slaa ya kutumia Chopa
 
Wameenda kushangaa chopa. Baada ya aibu aliyopata kule Katavi, hatimaye Lowasa katumia mbinu iliyompa umaarufu Dr Slaa ya kutumia Chopa

Msemaji wa chama cha mashetani katika ubora wake

Hata rais wenu alisema picha zimeunganishwa
 
Serikali sikivu ya Chadema kupitia UKAWA watalinda maslahi ya askari huyo aliyempigia saluti jemedari Lowassa.
 
Wameenda kushangaa chopa. Baada ya aibu aliyopata kule Katavi, hatimaye Lowasa katumia mbinu iliyompa umaarufu Dr Slaa ya kutumia Chopa

Tusipuuze nguvu ya lowasa kaka i swear uyu jamaa ni gumzo
 
Hongereni sana wana Kigoma, kila la kheri Kafulila.
Sina mashaka na hilo jimbo sababu ya kazi zako zilizotukuka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…