Picha: Lowassa akiwa Biharamulo Magharibi

Picha: Lowassa akiwa Biharamulo Magharibi

attachment.php


Wajameni, wahurumieni hao watoto wadogo. Hizi "nyomi" bado hamjatosheka nazo?

Kwani hawana haki ya kwenda kumuona raisi wa awamu ya tano. Mgombea wenu tatizo nyota
 
Mods naomba msaidie hapo kwenye heading... Ni "akiwa"
 
Moderator na Invisible..... Saidia heading hapo...
 
Kwani hawana haki ya kwenda kumuona raisi wa awamu ya tano. Mgombea wenu tatizo nyota
Haya, lakini sipati picha kama watoto hawa wangehudhuria mkutano wa "upande wa pili." Mandhari wamehudhuria mkutano wa Lowassa basi sio mbaya.
 
Kichwa cha habari kiko vizuri, sana hiyo ni technics upande wa pili ndiyo wanApenda sana kusikia hizo habari mbovu, iliwapate mahali pa kubeza, sasa wewe unawapiga cheza
La macho, wakifungua tu hiyo habari wanakutana na mafuriko ya mabadiriko. Mpaka
Wanasikia kichefuchefu, zikiwa habari nzuri za kumpaisha mzee hata hawana muda wa kuangalia. Pamoja makamanda humo ndiyo ubunifu unotakiwa. Nakwambia wengi watakata shauri na kuja tu.
 
kama Daudi alimshinda goliath kwa kombeo na jiwe,basi ni hakika Magufuli atamshinda Lowassa na kuwa Rais wa awamu ya tano.God is able.
 
Zanzibar na mombasa wataelewa vingine kichwa cha habari. Aliwa?
 
Heading ibaki hivyo hivyo ili maCCM yakimbilie kufungua, halafu ghafla yakutane na mafuriko. Nakwambia uzi huu utawaharibia siku maCCM
 
Back
Top Bottom